Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Baada ya tukio la Westgate, hili ni tukio jingine la kigaidi lililoitikisa Kenya leo

$
0
0
Baada ya tukio la Westgate ambalo lilichukua maisha ya watu wengi, jiji la Nairobi limekumbwa na tishio jingine la aina hiyo kwenye eneo la biashara la Nakumatt Junction Barabara ya Ngong ambapo yamekutwa masanduku manne ya kubebea risasi kwenye eneo la kuegesha magari kwenye vyumba vya chini (Basement).  Masanduku hayo yalipatikana ndani ya toroli la kubebea mzigo kutoka kwenye duka

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>