Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Michael Agustine Lukindo ni mtanzania aliyefariki nchini Marekani....Mwili wake utachomwa moto jumamosi ya tarehe 29 March 2014...Ndugu zake wanatafutwa sana

$
0
0
Mtanzania mwenzetu amefariki Madison Wisconsin nchini Marekani, na kwa sasa ndugu zake wanatafutwa.  Yeye ni mtu wa Tanga kwa jina la Michael Agustine Lukindo. Alikuja USA miaka mingi iliyopita, inasemekana zaidi ya miaka 30.  Ameacha mke (African American) na watoto wanne, mkubwa alizaliwa 1989.   Familia yake haijui ndugu wa Michael. Mazishi yatafanyika Jumamosi March 29, 2014,

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles