Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Juhudi za kuiondoa Risasi ndani ya ubongo wa mtoto zaongezeka....Mtoto huyo alipigwa Risasi baada ya magaidi kulivamia kanisa moja mjini Mombasa

$
0
0
Mtoto Satrin akiwa amebebwa na baba yake mzazi Benson Osinya ndani ya ndege kuelekea jijini Nairobi kwa matibabu.   Mtoto Satrin Osinya wakati akipatiwa matibabu mjini Mombasa baada ya kupigwa risasi.   Kaka wa Satrin Osinya, Moses Gift akiwa amembeba mdogo wake baada ya kunusurika kifo. ** Mtoto aliyejeruhiwa na risasi iliyomuua mama yake katika shambulio lililofanywa kwenye kanisa la

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>