Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

"Nilipingana na Mwl. Nyerere....Nikafukuzwa ukuu wa Mkoa"....Kingunge Ngombale Mwiru

$
0
0
Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, Kingunge Ngombale Mwiru, alisema kuwa aliwahi kuvuliwa wadhifa wa ukuu wa mkoa kwa sababu ya kutofautiana kimtazamo na hayati Baba wa Taifa, Mwalimu Julius K. Nyerere.    Kingunge alikumbushia tukio hilo juzi katika semina ya waandishi wa habari iliyofanyika mjini Dodoma katika Ukumbi wa Msekwa, naye akiwa mmoja wa watoa mada.   Akijibu swali la

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles