Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Vyeti feki 1,035 vyakamatwa kwa waombaji wa kazi nchini

$
0
0
Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma imekamata vyeti feki 1,035 (sawa na asilimia1.6) ya maombi ya kazi yaliyotumwa kwa miaka minne tangu kuanzishwa kwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Tangu wakati huo, jumla ya watu 65,000 walijitokeza na kuomba kazi katika sekretarieti hiyo. Akizungumza na NIPASHE, Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Sekretarieti ya Ajira, Riziki

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>