Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mwenyekiti wa bunge asema hotuba ya Rais Kikwete na Jaji Warioba HAZITAJADILIWA na bunge hilo......

$
0
0
  Na Magreth Kinabo – Maelezo,Dodoma Mwenyekiti wa Bunge Maalum Katiba ,Mhe .Samwel Sitta amesema Bunge halitajadili hotuba ya Rais Jakaya Kikwete na ile ya Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba kama alivyokuwa ametangaza awali kwa kuwa kufanya hivyo kutaingilia mchakato wa mjadala wa Rasimu ya Katiba Mpya.   Mhe. Sitta ametangaza uamuzi huo leo mapema asubuhi

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>