Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Diamond awachana BASATA kutokana na kuziondoa nyimbo za Jux, Madee na Snura kwenye KTMA

$
0
0
Ni msanii ambaye anaweza kuwa ametajwa zaidi kwenye tuzo za KTMA 2014 lakini Diamond Platnumz hajaliacha Baraza la Sanaa Tanzania likae kwa amani kwa uonevu ilioufanya kwa Jux, Madee na Snura kutokana na kuziondoa nyimbo zao kwenye mchakato wa KTMA 2014. Kupitia Instagram, Diamond ameandika:   "Ikiwa kweli tunalengo la kutoipotosha kimaadili jamii yetu na vizazi vyetu pendwa,

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>