Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MTANZANIA MWINGINE AKAMATWA NA MADAWA YA KULEVYA HONG KONG

 Mtu mmoja jana alisema sasa hivi wasafiri watokao Tanzania wanakaguliwa kwa makini zaidi ya ilivyokuwa hapo awali kutokana na matukio ya kukamatwa na dawa za kulevya! Hii ni sifa mbaya mno kwa raia na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWANAMKE APEWA KICHAPO KIKALI BAADA YA KUZINI NA MCHUNGAJI WA KANISA JIJINI DAR

MWANAMKE anayejulikana kwa jina la Nabii Juliana wa Kanisa la Miracle Assemblies of God, amepigwa na wananchi wenye hasira kali baada ya kudaiwa kuingilia ndoa ya Mchungaji Richard Kiondo. Tukio hilo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWANAFUNZI ATUPIWA MAJINNI NA KUJIKUTA AKIWA UCHI GETINI KWA KAKA YAKE

Kijana mmoja aliyetambulika kwa jina moja la Pasco (21) ambaye pia ni mwanafunzi wa kidato cha tatu katika Shule ya Sekondari ya Samaritan iliyopo wilayani Rorya mkoani Mara amekutwa getini kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

USABATO WADAIWA KUKIANGAMIZA CHUO CHA AURUSHA (UoA)

<!-- adsense --> Haya  ni  malalamiko ya  mdau anayesimulia  jinsi  USABATO unavyokiangamiza  chuo cha Ausha... Katika  maelezo  yake  aliyoyatoa  mzalendo forum, mdau  huo  anaripoti  kuwa  bila...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PROGRAM YA AJIRA KWA VIJANA WALIOHITIMU VYUO VIKUU NCHINI....

PROGRAMU YA AJIRA Programu hii itatekelezwa na Serikali kwa kushirikiana na vyuo vya elimu ya juu nchini,Taasisi za fedha na wabia wa maendeleo.Kwa kuanzia utekelezaji wake utaanza kwa kuendeleza...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIDEO YA MWANACHUO AKIKATA MAUNO NUSU UCHI....

<!-- adsense -->   Katika hali isiyo ya kawaida, mwanafunzi mmoja wa kike wa chuo kikuu maarufu hapa nchini ametoa kali ya mwaka baada ya kuamua kupiga chini kitabu na kuanza kukata mauno huku...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MBUNGE NASSARI ASOTA POLISI KWA MADAI YA KUMPIGA KADA WA CCM

Mbunge wa Arumeru Mashariki, Joshua Nassari jana alishikiliwa na jeshi la polisi mkoani Arusha kwa saa tatu na nusu kwa tuhuma za kumshambulia kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Hussein Warsama siku ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HAUSIBOI ALIYEMLAWITI BINTI WA MIAKA MINNE AHUKUMIWA KIFUNGO CHA MAISHA JELA...

Mahakama  ya Hakimu Mkazi ya Wilaya ya Mpanda Mkoa wa Katavi imemhukumu kijana, Baraka  Juma (22) mkazi wa kijiji cha Nkungwi  wilayani humo, kifungo cha maisha jela  baada ya kupatikana  na hatia  ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MBUNGE WA CCM (IDD IZAN) NA WENGINE WAHUSISHWA KATIKA TUHUMA NZITO ZA MADAWA...

Ni jambo la wazi  wamba biashara ya madawa ya kuleya   ni biashara ambayo mara nyingi hubebwa na watu wenye nazo au wenye madaraka fulani makubwa.Ni biashara ambayo ina faida kubwa na ya haraka pengine...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS PAUL KAGAME HATARINI KUSHITAKIWA ICC

ONYO lililotolewa na Ikulu ya Marekani dhidi ya Serikali ya Rwanda, linalomtaka Rais wa nchi hiyo, Paul Kagame, kuacha kuwasaidia waasi wa kikundi cha M23, lina kila dalili zinazomuweka kwenye kundi la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

"SASA NIMEOKOKA.....UJINGA SITAKI TENA"...LULU MICHAEL

MUIGIZAJI machachari wa filamu nchini, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amesema baada ya kupata misukosuko ya kimaisha, sasa maisha yake ameyaelekeza katika sala kumuomba Mungu amsamehe makosa yake.  Lulu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

"WALIOPENDEKEZA SERIKALI TATU NI WAZEE WANAOSUBIRI KUFA"...NAPE NNAUYE

MZIMU wa serikali tatu bado unaendelea kukitesa Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambapo jana, Katibu Mkuu wa Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, alipinga tena uwepo wa serikali tatu na kudai kuwa waliotoa maoni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAPE NNAUYE AYAKANA MATUSI YAKE KWA WAZEE

Nape Nnauye ameamua  kuvunja  ukimya  na  kutoa  utetezi  wake  kuhusu  kauli  yake chafu  iliyochapishwa  na  gazeti  la  Mtanzania  likimtuhumu  kuwatusi  wazee  waliopendekeza  uwepo  wa  serikali...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AIBU: KAMANDA WA CHADEMA AREKODIWA AKIJIELEZA JINSI ALIVYOKUBALI KUCHEZEWA...

<!-- adsense --> Miezi michache baada  ya  kuvuja  kwa  video  inayomuonesha  mkurugenzi  wa  ulinzi  na  usalama  wa chama  cha  demokrasia  na  maendeleo (CHADEMA),Wilfred Lwakatare  akidaiwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

"NIKIKUTA NINA VIRUSI VYA UKIMWI NI LAZIMA NIJIUE MAANA SIPO TAYARI...

Msanii  wa  filamu  bongo,Baby Madaha  amefunguka  kwamba  siku  akianza  kuona  dalili  za  ugonjwa  wa  UKIMWI  ndani  ya  mwili  wake   atakunywa  sumu  kwa  kuhofia  kuchekwa  na  jamii. Akiongea...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

"SIJAWAHI PIGA PICHA ZA UCHI...NIMEMFAHAMU SINTAH KUPITIA SKENDO YA KUGAWA...

Jana, Bongomovies.com imefanya interview kwa njia ya simu na mwanadada msanii Rayuu alaice Bungenzi kuhusiana na mambo mablimbali yanayoandikwa kwenye mitandao na tovuti mbalimbali nchini.  Katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MSHIRIKI WA TANZANIA (NANDO ) ATIMULIWA BIG BROTHER BAADA YA KUGOMBANA NA...

Jana usiku mara tu baada ya Sulu na Annabel kutolewa kwa kura za watazamaji, Big Brother aliwaita washiriki pamoja katika kikao cha dharura kufuatia ugomvi uliotokea kati ya Nando na Elikem....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AGNESS MASOGANGE AFUTIWA DHAMANA YAKE NA KURUDISHWA RUMANDE

HUKU  akiwa hajui nini hatima ya kesi inayomkabili ya kunaswa na madawa ya kulevya nchini Afrika Kusini, Video Queen Agnes Gerald ‘Masogange’ amepata balaa jipya Kwa mujibu wa chanzo chetu makini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UKOO WATISHIWA KUTEKETEZWA KWA USHIRIKINA HUKO TABORA

Watu watatu wa ukoo mmoja wameuawa kwa kukatwa mapanga kutokana na imani za kishirikina katika Wilaya ya Nzega Tabora, huku ujumbe mkali wa kuuawa kwa watu wengine ukiachwa katika Kijiji cha Nsanga....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JACK WOLPER AMJIBU MBAYA WAKE ALIYETANGAZA KUWA YEYE NI KAHABA

  Msanii  nyota  wa  filamu  bongo, Jacqueline Wolper   amewataka  wasanii wa  bongo  movie  kuacha  tabia  ya  kupigana  majungu  ya  kinafiki  ambayo  huchangia  kujenga  bifu  za  kijinga.......

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>