Watu watatu wa ukoo mmoja wameuawa kwa kukatwa mapanga
kutokana na imani za kishirikina katika Wilaya ya Nzega Tabora, huku
ujumbe mkali wa kuuawa kwa watu wengine ukiachwa katika Kijiji cha
Nsanga.
Tukio hilo lilitokea katika kijiji hicho kilichopo
Kata ya Ikindwa Nzega, Julai 25 mwaka huu, ambapo Mkuu wa Wilaya ya
Nzega Bituni Msangi alisema sababu ya
↧