Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

UKOO WATISHIWA KUTEKETEZWA KWA USHIRIKINA HUKO TABORA

$
0
0
Watu watatu wa ukoo mmoja wameuawa kwa kukatwa mapanga kutokana na imani za kishirikina katika Wilaya ya Nzega Tabora, huku ujumbe mkali wa kuuawa kwa watu wengine ukiachwa katika Kijiji cha Nsanga.   Tukio hilo lilitokea katika kijiji hicho kilichopo Kata ya Ikindwa Nzega, Julai 25 mwaka huu, ambapo Mkuu wa Wilaya ya Nzega Bituni Msangi alisema sababu ya

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>