HUKU akiwa hajui nini hatima ya kesi inayomkabili ya kunaswa na madawa
ya kulevya nchini Afrika Kusini, Video Queen Agnes Gerald ‘Masogange’
amepata balaa jipya
Kwa mujibu wa chanzo chetu makini ambacho kipo nchini humo, Masogange na
mwenzake aliyekamatwa naye, Melisa Edward wamefutiwa dhamana hivyo
wamerudi tena rumande.
Habari zinadai kuwa, dhamana za wawili hao zimefutwa kufuatia
↧