Mahakama
ya Hakimu Mkazi ya Wilaya ya Mpanda Mkoa wa Katavi imemhukumu kijana,
Baraka Juma (22) mkazi wa kijiji cha Nkungwi wilayani humo, kifungo
cha maisha jela baada ya kupatikana na hatia ya kosa la kumlawiti
mtoto wa kike mwenye umri wa miaka minne baada ya kumhadaa na
kumlewesha bia.
Akisoma
hukumu hiyo juzi, Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama hiyo, Chiganga
↧