Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

RAIS PAUL KAGAME HATARINI KUSHITAKIWA ICC

$
0
0
ONYO lililotolewa na Ikulu ya Marekani dhidi ya Serikali ya Rwanda, linalomtaka Rais wa nchi hiyo, Paul Kagame, kuacha kuwasaidia waasi wa kikundi cha M23, lina kila dalili zinazomuweka kwenye kundi la viongozi wa Kiafrika ambao hatma yao baada ya kuachia madaraka inazungukwa na wingu la mashaka.Rais wa Marekani, Barack Obama, ambaye mapema wiki hii alikaririwa na vyombo vya habari

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>