MUIGIZAJI machachari wa filamu nchini, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amesema
baada ya kupata misukosuko ya kimaisha, sasa maisha yake ameyaelekeza
katika sala kumuomba Mungu amsamehe makosa yake.
Lulu alisema hayo juzi,
katika kipindi cha Friday Night Live (FNL), kinachorushwa na kituo cha
Televisheni cha EATV cha Jijini Dar es Salaam.
“Sasa hivi nasali sana, namuamini Mungu katika maisha
↧