Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Baada ya danadana nyingi, Wananchi waamua kumwapisha Mwenyekiti wao wa Mtaa

Baada ya subira ya wiki mbili ili wenyeviti na wajumbe Mtaa wa Migombani – Segerea, Dar es Salaam waapishwe na mamlaka husika bila mafanikio, wananchi wameamua kuwaapisha viongozi hao kwa kutumia...

View Article


Mali za Mbunge wa Mbinga Magharibi, Kapteni Komba zatangazwa kupigwa Mnada...

Mali za Mbunge wa Mbinga Magharibi, Kapteni John Komba zimetangazwa kupigwa mnada kutokana na kushindwa kulipa deni analodaiwa na Benki ya CRDB.   Mali hizo zinahusisha eneo lenye ukubwa wa mita za...

View Article


Mwanamke hana jeuri ya kumkatalia mpenzi wake kupiga picha za Uchi- Juliana...

Muimbaji wa Uganda, Juliana Kanyomozi amefunguka kwa urefu kuhusiana na masuala mbalimbali kwenye mahojiano aliyofanyiwa na mtandao wa SatisfashionUG. Miongoni mwa mambo aliyohojiwa ni pamoja na...

View Article

Amber Rose Atupia Picha zake za Nusu Uchi Mtandaoni

Mwanamitindo Amber Rose ameamua kutupia picha nyingine zinazoonyesha sehemu ya mwili wake katika mtandao wa Instagram.   Amber ametupia picha hizo  ikiwa ni siku moja tangu aweke picha zeke nyingine...

View Article

Picha za UTUPU za Msanii maarufu Kenya, Risper Faith zasambaa

Picha  chafu  za  mwanadada  maarufu  nchini  Kenya, Risper  Faith  zimevuja  na  kusambaa  kwa  kasi  katika  mitandao  maarufu  ya  Kenya  na  Uganda. Picha  hizo  ambazo  zinadaiwa  kusambazwa  na...

View Article


[ VIDEO ] : Diamond na mpenzi wake Zari wakifanya Yao FARAGHA huku...

Nani alidhania kuwa Diamond ni shabiki wa wimbo wa Mr Blue ‘Pesa’? Apparently staa huyo ni shabiki wa ngoma hiyo iliyomrejesha vyema mfalme wa Mapozi nchini. Katika video ambayo Mama Kijacho Zari...

View Article

Kuwa Staa Raha Sana: Diamond Katumiwa Video ya Nusu Uchi na Mrembo wa Kenya...

Unaukumbuka  Wimbo  wa  Diamond Platnumz  alioimba "Ntampata wapi ??""...Unaambiwa  mabinti  kibao  wameanza  kujigonga  kwake  kutokana  na  wimbo  huo. Mrembo na Mwanamitindo anayeitwa Tiara ,...

View Article

Mazungumzo ya amani Sudani Kusini yafanyika Arusha

Wakuu  wa  nchi  za  Tanzania,  Kenya na  Uganda  wamekutana  jijini  Arusha  na  viongozi  wa  nchi  za  Sudan  na  Sudani  Kusini zinazokabiliwa  na  mapigano   ikiwa  ni sehemu  ya  jitihada  za...

View Article


Hali bado tete kwa wafugaji Morogoro

Hofu imeendelea kutanda kwa wafungaji mkoani Morogoro kufuatia bodaboda kuendelea kuwavamia na kuwapora wafugaji kila wanapoonekana katika mji wa Morogoro kwa madai ya kulipiza kisasi baada ya mkulima...

View Article


Kinana apokelewa kwa mabango jimbo la Uzini

Katibu mkuu wa chama cha mapinduzi CCM Abdulrahaman Kinana  amepokewa kwa mabango na wananchi wa kijiji cha Miwani jimbo la uzini wilaya ya kati mkoa wa Kunisi Unguja Zanzibar wakimuomba kuwatatulia...

View Article

Kampuni ya Simu ya TTCL Yafilisika

KAMPUNI ya Simu Tanzania (TTCL) imetangazwa kufilisika, kutokana na kutokuwa na mtaji baada ya mwekezaji, Kampuni ya simu za mkononi ya Bharti Airtel, kushindwa kuwekeza kwa miaka 14.   Kutokana na...

View Article

Mshindi wa mtoko wa mbugani kwenye promosheni ya Tutoke na Serengeti Apatikana

Mshindi wa mtoko wa mbugani kwenye promosheni ya Tutoke na Serengeti Bw. Deogratius Peter Bongole (24) kutoka Rombo mkoani Kilimanjaro akiwa anapewa maelekezo kuhusu safari yake ya kwenda Mbuga ya...

View Article

Zitto Kabwe Ajibu tuhuma za IKULU, Akiri Rais Kikwete amekwisha futa Misamaha...

KAMATI ya Bunge ya Kudumu ya Hesabu za Serikali (PAC), imekiri kuwa hadi sasa Sheria ya Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) ipo, lakini pamoja na kusainiwa na Rais bado haijaanza kutekelezwa jambo...

View Article


Kamati Kuu ya CHADEMA kukutana leo

KAMATI Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), inakutana leo jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kujadili mambo mbalimbali likiwemo suala la Uchaguzi Mkuu baadaye, mwaka huu.   Mambo mengine...

View Article

Mwanafunzi wa Mwaka wa Pili katika Chuo cha Ualimu Rukwa Auawa Kinyama

Mwanafunzi wa ualimu aliyekuwa anasoma mwaka wa Pili katika Chuo cha Ualimu Rukwa, Manispaa ya Sumbawanga, Zakayo Anosisye (25) ameuawa na watu wasiofahamika.   Kamanda wa Polisi Mkoa wa Rukwa , Jacob...

View Article


Picha: Zari anavyokodolea macho simu ya Diamond kama Beyonce kwa Jay Z.

Wapenzi Diamond na Zari wamekuwa wakifananishwa na couple tofauti za mastaa duniani kwa picha na  pozi tofauti. Kupitia instagram yake Zari amejifananisha na Beyonce kwa jinsi anavyofuatilia shughuli...

View Article

Picha: Vanessa Mdee na Jux wakila bata Zanzibar ndani ya Vazi la "Nusu Utupu"

Bongo fleva ilitawala Zanzibar ‘Ngome Kongwe’ 17 Jan kwenye usiku wa show kali Jux, Vanessa Mdee, Navy Kenzo ‘Nahreel na Aika’ ambayo ilifunguliwa na Baby J na Mirrro.   Baada ya show, Jux na V Money...

View Article


Vikongwe Wapigana Mabusu Hadharani....!!!

Mohamed Khalfan ambaye ni kikongwe wa miaka 78 mwenye ulemavu wa ukoma na mkewe, Habiba Shomari (68) hivi karibuni waliwashangaza watu baada ya kuamua kumwagiana mabusu hadharani. Tukio hilo lilijiri...

View Article

"Bora niwe Fundi Nguo ili Niwaepuke ‘Masnichi’ Waliopo Bongo Movie"- Wolper

Staa wa filamu za Kibongo, Jacqueline Wolper Masawe ‘Wolper’ ameamua kuanika ukweli kuwa sasa hivi anataka kuwa fundi wa kushona nguo ili kuepukana na ‘masnichi’ waliopo kwenye tasnia ya uigizaji....

View Article

Shindano la Nani Mkali: Jokate Amfunika Lulu Michael

Mwanamitindo  na dairekta wa lebo ya Kidoti, Jokate Mwegelo amekuwa tishio kwa msanii wa filamu za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ kwa urembo na muonekano katika picha zinazoonekana mitandaoni...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live