Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Baada ya danadana nyingi, Wananchi waamua kumwapisha Mwenyekiti wao wa Mtaa

$
0
0
Baada ya subira ya wiki mbili ili wenyeviti na wajumbe Mtaa wa Migombani – Segerea, Dar es Salaam waapishwe na mamlaka husika bila mafanikio, wananchi wameamua kuwaapisha viongozi hao kwa kutumia wakili binafsi.   Wakati hali hiyo ikitokea Dar es Salaam, wilayani Rombo mkoani Kilimanjaro baadhi ya wenyeviti wa vijiji walioshindwa wamekataa kuwaachia ofisi viongozi wapya wakidai kuwa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>