Vurugu zimetokea jana kwenye ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa
nchini baada ya makundi yanayopingana ndani ya Chama cha ACT-Tanzania
kukutana ana kwa ana katika ofisi hiyo kwa ajili ya kikao cha
usuluhishi.
Baada ya kukutana kwa makundi hayo, ghafla walitokea vijana wanaodaiwa kukodiwa na Mwenyekiti aliyesimamishwa, Kidawi Limbu na kumvamia Katibu Mkuu wa muda wa chama hicho, Samson
↧