JESHI la Polisi Mkoa wa Arusha limewatia mbaroni watu kadhaa kwa
kuhusishwa na tukio la ujambazi wa kuteka mabasi sita ya abiria
yaliyokuwa yanatoka nchini Kenya kuelekea jijini Arusha.
Akizungumza na waandishi wa habari jana jijini hapa, Kamanda wa Polisi
Mkoa wa Arusha, Liberatus Sabas, alisema katika msako huo ulioanza jana
wamefanikiwa kukamata watu hao katika maeneo tofauti
↧