Waziri wa Usalama nchini Kenya Joseph Nkaissery amewaomba radhi
wanafunzi wa shule ya msingi waliofyatuliwa gesi ya kutoa machozi wakati
walipokuwa wakiandamana kupinga kunyanga'anywa kipande cha ardhi ambacho
kilikuwa uwanja wao wa kuchezea.
Bwana Nkaissery amempa siku moja mnyakuzi
wa ardhi hiyo kuondoa sehemu ya ukuta iliyobaki baada ya wanafunzi
kuuangusha na kisha kuondoka
↧