Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Waziri Awaomba Radhi Wanafunzi Waliopigwa Mabomu ya Machozi Kenya

$
0
0
Waziri wa Usalama nchini Kenya Joseph Nkaissery amewaomba radhi wanafunzi wa shule ya msingi waliofyatuliwa gesi ya kutoa machozi wakati walipokuwa wakiandamana kupinga kunyanga'anywa kipande cha ardhi ambacho kilikuwa uwanja wao wa kuchezea. Bwana Nkaissery amempa siku moja mnyakuzi wa ardhi hiyo kuondoa sehemu ya ukuta iliyobaki baada ya wanafunzi kuuangusha na kisha kuondoka

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>