Wakati mkongwe wa filamu za kuchekesha, King Majuto
akidai kutoshiriki kazi na msanii yeyote kutokana na kuibiwa, msanii
mwenzake, Aunty Ezekiel amechukizwa na uamuzi huo.
Akizungumza na Uwazi, Aunty alisema kuwa haamini kama wezi wa kazi
zake ndiyo chanzo cha Majuto kuachana na filamu za kushirikishwa bali
inawezekana kuna tatizo lake lingine.
“Suala la wezi lipo miaka mingi na
↧