Video
ikiwaonyesha mateka wa Kijapan, Kenji Goto Jogo na Haruma Yukawa, walio
katika nguo za rangi ya chungwa, wakiwa na Jihadi John anayedai fidia
ya Dola milioni 200 ili kuwaachia mateka hao.
Waziri Mkuu wa Japana, Shinzo Abe, ambaye anategemewa kuokoa maisha ya mateka wa Kijapan.
Kenji
Goto Jogo (kushoto) mwandishi wa habari wa Japan na Haruna Yukawa
mwanajeshi kutoka kampuni
↧