Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

JWTZ yafanikiwa kupunguza dhoruba Mtwara

$
0
0
Wanajeshi zaidi ya 300 wa Jeshi la wananchi wa Tanzania, wamefanikiwa kudhibiti sehemu ya ardhi iliyobaki isiendelee kumezwa na maji ya bahari kwa kutumia mawe na vifusi vya mchanga katika eneo la Msimbati lililopo Mtwara vijijini. Akizungumza na waandishi wa habari katika eneo la tukio kanali wa jeshi Saidi Nkambi anayesimamia oparesheni hiyo amesema zoezi hilo linakwenda vizuri

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>