Wanajeshi zaidi ya 300 wa Jeshi la wananchi wa Tanzania, wamefanikiwa
kudhibiti sehemu ya ardhi iliyobaki isiendelee kumezwa na maji ya bahari
kwa kutumia mawe na vifusi vya mchanga katika eneo la Msimbati lililopo
Mtwara vijijini.
Akizungumza
na waandishi wa habari katika eneo la tukio kanali wa jeshi Saidi
Nkambi anayesimamia oparesheni hiyo amesema zoezi hilo linakwenda vizuri
↧