WANAWAKE wa (CHADEMA), Arusha,wametakiwa kujitokeza kwa wingi, kugombea
nafasi mbalimbali za uongozi bila woga katika uchaguzi mkuu ujao na
kuonywa kujiingiza katika kashfa za kutembea na viongozi wao ili wapate
nafasi hizo.
Akizungumza jana na Baraza la Wanawake Chadema Mkoani Arusha
(BAWACHA), Makamu Mwenyekiti Taifa wa Baraza hilo, Hawa Mwaifunga,
amesema kumekuwa na tabia kwa
↧