Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Rushwa ya Ngono isiwe kigezo cha Uongozi-Bavicha

$
0
0
WANAWAKE wa (CHADEMA), Arusha,wametakiwa kujitokeza kwa wingi, kugombea nafasi mbalimbali za uongozi bila woga katika uchaguzi mkuu ujao na kuonywa kujiingiza katika kashfa za kutembea na viongozi wao ili wapate nafasi hizo. Akizungumza jana na Baraza la Wanawake Chadema Mkoani Arusha (BAWACHA), Makamu Mwenyekiti Taifa wa Baraza hilo, Hawa Mwaifunga, amesema kumekuwa na tabia kwa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>