Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mali za Mbunge wa Mbinga Magharibi, Kapteni Komba zatangazwa kupigwa Mnada baada ya kushindwa kulipa deni lake CRDB

$
0
0
Mali za Mbunge wa Mbinga Magharibi, Kapteni John Komba zimetangazwa kupigwa mnada kutokana na kushindwa kulipa deni analodaiwa na Benki ya CRDB.   Mali hizo zinahusisha eneo lenye ukubwa wa mita za mraba 2,214 lililopo Mbezi Tangi Bovu, Dar es Salaam, kiwanja namba 1030 kilichosajiliwa kwa jina la John Damiano Komba na Salome Komba.   Kwa mujibu wa tangazo lililotolewa kwenye vyombo

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles