Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Kinana apokelewa kwa mabango jimbo la Uzini

$
0
0
Katibu mkuu wa chama cha mapinduzi CCM Abdulrahaman Kinana  amepokewa kwa mabango na wananchi wa kijiji cha Miwani jimbo la uzini wilaya ya kati mkoa wa Kunisi Unguja Zanzibar wakimuomba kuwatatulia kero mbalimbali za kijiji hicho, ikiwemo maji,barabara na huduma za afya, sanjali na kuingilia kati mgogoro wa kutoelewana baina ya mbunge na mwakilishi wa jimbo hilo la uzini.   Kufuatia

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>