Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Zitto Kabwe Ajibu tuhuma za IKULU, Akiri Rais Kikwete amekwisha futa Misamaha ya Kodi

$
0
0
KAMATI ya Bunge ya Kudumu ya Hesabu za Serikali (PAC), imekiri kuwa hadi sasa Sheria ya Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) ipo, lakini pamoja na kusainiwa na Rais bado haijaanza kutekelezwa jambo linalosababisha misamaha ya kodi izidi kupaa.   Hayo yalibainishwa Dar es Salaam jana na Mwenyekiti wa kamati hiyo, Kabwe Zitto, wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu kauli ya Ikulu

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>