Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DC Mteule Atakiwa Kukomosha Mauaji Wilayani Nzega

NA TIGANYA VINCENT, TABORA.MKUU wa Mkoa wa Tabora Dkt. Philemon Sengati amemwagiza Mkuu wa Wilaya ya Nzega Kamishina Msaidizi wa Polisi (ACP) Advera Bulimba kuhakikisha anakomesha vitendo vya mauaji...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mrisho Gambo Achukua fomu za kugombea ubunge katika jimbo la Arusha Mjini

Aliyekuwa Mkuu wa mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo, leo amechukua fomu za kugombea ubunge katika jimbo la Arusha Mjini, kupitia chama cha Mapinduzi

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Naibu Spika Tulia achukua fomu kuwania ubunge Mbeya Mjini Kupitia CCM

Naibu Spika Dkt.Tulia Ackson amechukua fomu ya kuwania nafasi ya Ubunge wa Jimbo la Mbeya mjini kupitia tiketi ya CCMDkt.Tulia amechukua fomu hiyo katika ofisi za CCM Wilaya akisindikizwa na Mume wake...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Naibu Waziri wa Ardhi Dkt.Angelina Mabula naye ajitosa rasmi kugombea ubunge...

Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Ilemela Dkt.Angelina Mabula leo amechukua fomu ya kutetea kiti chake cha ubunge katika ofisi ya Chama cha CCM wilaya ya Ilemela

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA: Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Yahamia Dodoma

Murugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Dk. Wilson Mahera (kushoto) akizungumza na watumishi wa NEC ambao wamehamia Ofisi mpya za Makao Makuu ya Ofisi hiyo yaliyopo Njedengwa Jijini Dodoma jana....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Angela Kairuki Achukua Fomu Ya Ubunge Same Magharibi

Waziri wa Uwekezaji, Angellah Jasmine KAIRUKI akichukua Fomu ya Kugombea Ubunge Jimbo la Same Magharibi kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi leo Julai 14 , 2020. Anayemkabidhi fomu hiyo ni Katibu wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Askofu Gwajima Achukua Fomu ya Kugombea Ubunge Jimbo la Kawe Kupitia CCM

Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima amechukua fomu ya kuomba kuteuliwa kugombea ubunge Jimbo la Kawe kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi. Jimbo hilo lilikuwa linaongozwa na Halima Mdee...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mtoto wa Lowassa Achukua Fomu ya Kugombea Ubunge Jimbo la Monduli

Katibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Monduli, Langael Akyoo, leo Jumanne July 14,2020 amemkabidhi Fredrick Lowassa fomu ya kuomba ridhaa ya Chama hicho ya kugombea Ubunge wa Jimbo la Monduli....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Godbless Lema 'Atamba' Kushinda Ubunge Arusha Mjini....."Natamani Wawe 30 ili...

Mbunge wa Arusha Mjini anayemaliza muda wake,  Godbless Lema amesema sheria ingeruhusu, angetaka wagombea wote wa CCM Arusha ashindane nao.  “Nime sikia sikia majina ya wagombea Ubunge Arusha Mjini...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri wa Kilimo Japhet Hasunga Achukua Fomu Ya Kugombea Ubunge Jimbo La...

Waziri wa Kilimo Japhet Hasunga amechukua Fomu ya Kugombea Ubunge Jimbo la Vwawa Mkoani Songwe kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi leo Julai 14, 2020. Anayemkabidhi fomu hiyo ni Katibu wa CCM Wilaya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri wa Elimu Prof Joyce Ndalichako Achukua Fomu ya Kugombea Ubunge Jimbo...

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof Joyce Ndalichako, leo Julai 14, 2020, amechukua fomu ya kuomba ridhaa chama chake ili kiweze kumteua, aweze kugombea Ubunge katika jimbo la Kasulu Mjini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Aliyekuwa Mlinzi wa zamani wa Baba wa Taifa ambaye pia alikuwa mlinzi mkuu wa...

Aliyekuwa Mlinzi wa zamani wa Baba wa Taifa ambaye pia alikuwa mlinzi mkuu wa Waziri Mkuu wa zamani Edward Lowassa,  Aloyce Tendewa amechukua fomu ya kuwania ubunge jimbo la Kilombero kwa tiketi ya CCM

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri wa TAMISEMI Selemani Jafo Achukua Fomu Ya Kugombea Ubunge Jimbo la...

Waziri wa TAMISEMI Selemani Jafo, leo Julai 14, 2020, amechukua fomu ya kuomba ridhaa  ya chama chake ili kimteue kwa ajili ya kugombea Ubunge wa Jimbo la Kisarawe.

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Atiwa Mbaroni Kwa tuhuma ya kusafirisha shehena ya madawa ya binadamu,...

Jeshi la Polisi Mkoani Dodoma linamshikilia Fredrick Anaclet Maxmilian (38) mkazi wa Mbagala Jijini Dar es Salaam kwa tuhuma ya kusafirisha shehena ya madawa ya binadamu, sambuli 149 baadhi yakiwa na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri Achukua Fomu ya Kugombea...

Mbunge wa zamani wa jimbo la Siha,na mkuu wa mkoa mstaafu wa Tabora Aggrey Mwanri amechukua fomu ya ubunge wa jimbo la Siha Mkoani Kilimanjaro kupitia chama  cha Mapinduzi - CCM

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Usichelewe .....Pakua sasa hivi App Ya Mpekuzi Ikiwa na Maboresho Mapya. Ipo...

Tumefanya Maboresho Kwenye App Yetu ya Mpekuzi Ili Kukuwezesha Kupata Habari zetu Haraka Usikubali kupitwa na taarifa muhimu zinazoendelea hapa nchini na Duniani  kwa Ujumla . Tumejipanga vizuri sana...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Peter Lijualikali Ajitosa Tena Jimbo la Kilombero Kupitia CCM

Aliyekuwa Mbunge wa Kilombero kupitia CHADEMA na baadaye kuhamia CCM, Peter Lijualikali amechukua fomu ya kuomba kuteuliwa (na CCM) kutetea nafasi hiyo.

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwanaharakati Cyprian Musiba Ajitosa Kugombea Ubunge jimbo la 'Kangi Lugola'

Mwanaharakati Cyprian Musiba amechukua fomu ya kuomba kuteuliwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kugombea ubunge katika Jimbo la Mwibara, Mkoa wa Mara. Jimbo hilo linaongozwa na Mbunge Kangi Lugola kupitia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Aliyekuwa Mbunge wa CHADEMA David Silinde Ajitosa Kugombea Ubunge Jimbo la...

Aliyekuwa mbunge wa Momba kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), David Silinde amechukua fomu ya kugombea ubunge Tunduma Mkoa wa Songwe kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM)Silinde amechukua...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wagombea 19 Kilosa Na 20 Mikumi Wa CCM Wajitokeza Kuchukua Fomu Akiwemo...

Jumla ya wanachama 19 wa Chama Cha Mapinduzi katika jimbo la Kilosa wamejitokeza kuchukua fomu za kugombea Ubunge katika jimbo hilo ikiwa ni siku ya kwanza tu tangu zoezi la uchukuaji fomu kupitia CCM...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>