Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live
↧

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Maendeleo ya teknolojia ya kidijitali na umuhimu wake kwenye kukuza uchumi...

Duniani kote suala la matumizi ya teknolojia ya kidijitali linakua kwa kasi kubwa sana na kwa kiasi fulani kunachagizwa na matumizi ya intaneti/data kupitia simu za mkononi. Kwa mujibu wa Mkutano wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wizara Ya Ardhi Yawasilisha Taarifa Ya Vijiji Vyenye Migogoro Maeneo Ya...

Na Munir Shemweta, WANMM DODOMAWizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi imewasilisha taarifa ya utekelezaji maagizo ya kutoondolewa vijiji 920 kati ya 975 vilivyokuwa katika migogoro maeneo ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mkutano Wa Baraza La Mawaziri Wa Fedha Nchi Za SADC Kuanza Kesho Dar Es Salaam

Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango, anatarajiwa kuongoza Mkutano wa Mawaziri wanaohusika na masuala ya Fedha na Uwekezaji wa Nchi za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC)...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli Aagiza Cosota Kuhamia Wizara Ya Habari Kutoka Wizara Ya Viwanda...

Rais wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli amemuagiza Waziri wa Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo, Dkt. Harison Mwakyembe kuhamishwa kwa chombo kinachosimamia sanaa Tanzania  (COSOTA) kutoka Wizara ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatatu July 13

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali Yazindua Chanjo Za Kimkakati 13 Za Mifugo, Waziri Mpina Awaweka...

NA MWANDISHI WETU, SINGIDASERIKALI imezindua zoezi la chanjo za kimkakati 13 za mifugo kitaifa huku Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Luhaga Mpina akionya wadau wote wanaojishughulisha na uzalishaji,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wananchi Mwakata Kahama Wamtuhumu Diwani Mstaafu Kula Fedha Za Bati Za Msaada

Na.Faustine Gimu Galafoni,Kahama Shinyanga.Sakata la  bati  1346  za msaada  zilizotolewa katika maafa ya mvua ya barafu mwakata  mwaka 2015 limezua mjadala baada ya  fedha zaidi ya Tsh. milioni 12...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Naibu Waziri wa Ardhi Dkt. Mabula Aipongeza Wizara Ya Ardhi Kuwezesha Nchi...

NA. Hassan MabuyeNaibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt. Angeline Mabula ameipongeza Wizara ya ardhi kwa kuwezesha kwa kiasi kikubwa katika mchango wa Tanzania kuingia katika uchumi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Katibu Mkuu Kilimo Akemea Kasi Ndogo Ya Mkandarasi Ujenzi Wa Vihenge NFRA...

Na Munir Shemweta, WANMM DODOMAWizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi imewasilisha taarifa ya utekelezaji maagizo ya kutoondolewa vijiji 920 kati ya 975 vilivyokuwa katika migogoro maeneo ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wahalifu 13 wakamatwa na jeshi la polisi kwa tuhuma za kuhusika na tukio la...

SALVATORY NTANDUWatu 13 wanashikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Shinyanga kwa tuhuma za kuhusika na tukio la Mauaji ya Watu  Wanne katika Kiwanda cha Kuchenjulia Dhahabu cha Dakires kilichopo katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Bilione Laizer Awa Kivutio katika Maonyesho ya Biashara ya 44 ya Kitaifa...

Bilionea wa Madini ambaye ni mchimbaji mdogo wa Madini Merelani mkoani Manyara, Saniniu Laizer jana alikuwa kivutio katika Maonyesho ya Biashara ya 44 ya Kitaifa Sabasaba baada ya kufikia katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wakamatwa Kwa Kuwafundisha Watoto Wadogo Ngono

Na Mwandishi Wetu,TunduruJUMLA ya  wazazi 35 kutoka kata ya Nalasi wilayani Tunduru wamekatwa  baada ya kukukutwa wakiwafundisha watoto wa kike walio chini ya umri wa miaka 8  mbinu za kuishi na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Nchiza SADC Zatakiwa Kupambana Na Ugaidi Na Utasishaji Fedha Haramu

Na Farida Ramadhani, Dar es SalaamNchi za Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC) zimeshauriwa kuunganisha nguvu zao kupambana na changamoto ya utakatishaji fedha haramu na ufadhili wa makundi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Binti wa Nelson Mandera Afariki Dunis

Zindzi Mandela, binti ya marehemu shujaa, Nelson Mandela amefariki dunia. Zindzi ambaye amefariki mjini Johannesburg mapema leo Jumatatu, Julai 13 akiwa na miaka 59, alihusika katika vita vya kupigania...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA: Rais Magufuli Alipokutana Na Kufanya Mazungumzo Na Waziri Mkuu Mstaafu...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza jambo na Waziri Mkuu Mstaafu Edward Lowassa wakati alipomkaribisha nyumbani kwake Ikulu ya Chamwino mkoani Dodoma...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ahukumiwa Kunyongwa Kwa Kumuua Mke Wake na Watoto Wawili

Na George Mwigulu,KataviMAHAKAMA Kuu Kanda ya Sumbawanga imemhukumu, Yustine Robart (35) kunyongwa hadi kufa baada ya kupatikana na hatia ya kumuuwa mkewe, Jackilina Lwiche na watoto wake wawili, Frenk...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wanawake Watakiwa Kutokubali Kutumiwa na Wanasiasa Kuvuruga Amani

Na Mwandishi Wetu, Dodoma. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu,Sera, Bunge,Kazi, Vijana, Ajira na Watu wenye ulemavu, Mhe. Jenista Mhagama amewaasa wanawake kutokubali kutumiwa na vyama vya siasa kama...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ratiba ya Mchakato wa kuwapata Wagombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa...

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kupitia kwa katibu wa Itikadi na uenezei wa Chama hicho, Humprey Polepole kimetoa utaratibu na ratiba kamili itakayoohusisha mchakato wa uchukuaji fomu kwa wagombea wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Maswali 15 Yanayoulizwa Mara kwa Mara Kwenye Usaili ( Interviews ) na Namna...

Usaili wa ajira (interviews) husababisha hofu na msongo wa mawazo kwa vijana wengi kabla au baada ya kutoka chumba cha usaili.Tatizo hilo hutokana na hofu inayojenga wakati wa kujibu maswali...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumanne July 14

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>