Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Dr. Wilbrod Slaa Amlilia Marehemu Kapteni John Komba.....Asema Taifa...

Yakiwa  Yamepita  Masaa Machache  baada ya Mbunge wa Mbinga mashariki Kaptain John Komba kufariki dunia Gafla kutokana na kusumbuliwa na Ugonjwa wa kisukari kwa mda mrefu, Viongozi mbalimbali...

View Article


VIDEO: Kamati Kuu ya CCM Yawatimua Akina Chenge, Ngeleja na...

KAMATI kuu ya Chama cha Mapinduzi CCM /CC,imewazuia Viongozi wake  waliochukua pesa kwenye Akaunt ya Escrow kutoingia kwenye Vikao vya juu  vya Chama hicho. Viongozi waliozuiliwa ni Mbunge wa Muleba...

View Article


Rais Kikwete atoa Salamu za Rambirambi kufuatia kifo cha Mbunge wa Mbinga,Mh....

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amepokea kwa mshtuko mkubwa na huzuni nyingi taarifa za kifo cha ghafla cha...

View Article

Pinda kuigawa wilaya ya Chunya kabla ya Oktoba 30

Waziri mkuu Mheshimiwa Mizengo Pinda ameahidi kuigawa wilaya ya Chunya ili kupata wilaya mbili kabla ya uchaguzi mkuu ujao unaotarajiwa kufanyika mwezi Oktoba mwaka huu. Uamuzi wa waziri mkuu kuigawa...

View Article

NEC yaongeza muda wa kujiandikisha Makambako

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeongeza muda wa siku mbili zaidi katika zoezi la uandikishaji wapiga kura kwenye daftari lakudumu la wapiga kura kwa njia ya Biometric voters registration (BVR) lililokuwa...

View Article


Kapteni Komba kuagwa kesho jijini Dar

Mwili wa aliyekuwa mbunge wa Mbinga Magharibi na Mkurugenzi wa kundi la uhamasishaji chama cha CCM LA Tanzania One Theatre (TOT), Kapteni Mstaafu John Komba unatarajiwa kuagwa kesho katika viwanja vya...

View Article

VIDEO: Rais Kikwete Aifariji Familia ya Marehemu Kapten John Komba Leo

Rais Jakaya Mrisho kikwete akiweka saini katika kitabu cha maombolezo alipokwenda kutoa pole na kuifariji familia ya Mbunge wa Mbinga Magharibi na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Marehemu Kepteni...

View Article

Kapt. Komba kuzikwa Mbinga, Jumanne Machi 3

Mwili wa Mbunge wa jimbo la Mbinga Magharibi nchini Tanzania Kapteni mstaafu John Komba unatarajiwa kuagwa kesho katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es salaam. Akizungumza na Kurasa nyumbani kwa...

View Article


Wazazi waliooza binti wa miaka 10 kortini

WAZAZI wa mtoto mwenye umri wa miaka 10 aliyeozwa kwa siri wilayani Bahi, katika Mkoa wa Dodoma, wanafikishwa mahakamani leo kujibu mashitaka yanayowakabili.   Mtoto huyo aliokolewa kutoka kwenye ndoa...

View Article


Watu Watano Mahututi baada ya kunywa dawa za Kienyeji Walizopewa na Mganga wa...

WATU watano wa familia moja katika Kitongoji cha Benaco, Kata ya Mtandi Halmashauri ya mji wa Masasi mkoani Mtwara, wamelazwa katika Hospitali ya Mkomaindo huku hali zao zikiwa mbaya baada ya kunywa...

View Article

Linah na Recho Wanaswa Wakifanya Mambo ya Aibu Mbele ya Watu

Masistaduu wa Bongo Fleva, Estelina Sanga ‘Linah’ na rafiki yake, Winfrida Josephate ‘Recho’, wamefanya mambo ya aibu mbele ya kadamnasi.   Tukio hilo la aibu lilijiri hivi karibuni usiku kwenye bwawa...

View Article

Shamsa: Sipendi Wanaolalamika Kutendwa!

Mrembo na mwigizaji wa filamu mwenye mvuto wa aina yake, Shamsa Ford  ametoa mtazamo wake kupitia  ukurasa wake wa Instagram  kuhusu swala la watu kulalamika muda wote kuwa  wametendwa kwenye maswala...

View Article

Waziri Mkuu Awafariji Askari 9 Waliopata Ajali Wakiwa Kwenye Msafara Wake

WAZIRI MKUU Mizengo Pinda, amewatembelea askari wa Jeshi la Polisi waliolazwa kwenye Hospitali ya Mkoa wa Mbeya kutokana na ajali waliyoipata jana wakati msafara wake ukielekea Kata ya Galula wilayani...

View Article


CUF Waishangaa CCM Kuwazuia Akina Chenge, Ngeleja na Tibaijuka Kuhudhuria...

CHAMA Cha Wananchi (CUF) kimeshangazwa na uamuzi wa Kamati Kuu ya Chama cha Mapinduzi wa kuwazuia viongozi waliohusika na kujipatia mgawo wa fedha kutoka katika akaunti ya Tegeta Escrow kutohudhuria...

View Article

Radi Yaua Watu Watano wa Familia Moja huko Shinyanga......Wanne kati Yao...

WATU watano wa familia moja wakiwemo wanafunzi wanne wamekufa papo hapo kwa kupigwa radi wakiwa shambani katika Kijiji cha Manungu kata ya Uyogo, Halmashauri ya Ushetu wilayani Kahama, mkoani...

View Article


Ratiba ya Kuuaga Mwili wa Marehemu Kapten Komba Leo katika Viwanja Vya Karimjee

Mwili wa Mbunge wa jimbo la Mbinga Magharibi nchini Tanzania Kapteni mstaafu John Komba unatarajiwa kuagwa leo  katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es salaam. >>>BOFYA  HAPA  KUIONA...

View Article

Hali si Nzuri ndani ya NNCR-Mageuzi: Mbunge wa Kasulu Mjini Moses Machali...

MBUNGE wa Kasulu Mjini, Moses Machali (NCCR-Mageuzi), ametangaza rasmi kwamba hatagombea tena ubunge wa jimbo hilo wakati wa uchaguzi mkuu mwaka huu.   Amesema ingawa alikuwa na nia ya kuendelea...

View Article


Zitto Kabwe Ataka Andrew Chenge Apewe 'Kifungo Cha Maisha' Uongozi wa Umma

WAKATI Tume ya Maadili ya Utumishi wa Umma ikiendelea na mvutano wa sheria na Mbunge wa Bariadi Magharibi (CCM), Andrew Chenge, Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC),...

View Article

Urais 2015: Kiongozi wa CHADEMA Atangaza Kumuunga Mkono Edward...

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimetahadharishwa kisifanye mzaha na uteuzi wa mgombea wa nafasi ya urais kupitia chama hicho, kwani kisipoteua mtu makini na mchapa kazi anayekubalika na jamii, mgombea...

View Article

Photos : Girl Takes Her Life After Boyfriend Dumped Her For Best Friend

(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({}); So sad! A young Nigerian girl has taken her life after her boyfriend dumped her for her best friend.   According to a close source,the deceased body...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>