Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Kapteni Komba kuagwa kesho jijini Dar

$
0
0
Mwili wa aliyekuwa mbunge wa Mbinga Magharibi na Mkurugenzi wa kundi la uhamasishaji chama cha CCM LA Tanzania One Theatre (TOT), Kapteni Mstaafu John Komba unatarajiwa kuagwa kesho katika viwanja vya Karimjee. Mwili huo utaagwa kuanzia saa nne asubuhi kabla ya kusafirishwa kwenda Mbinga kwa maziko siku ya Jumanne.   Kifo cha Marehemu Komba kinakuwa ni pigo jingine kubwa katika tasnia

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>