Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Hali si Nzuri ndani ya NNCR-Mageuzi: Mbunge wa Kasulu Mjini Moses Machali ASUSA.....Atangaza Kutogombea tena Ubunge wa Jimbo hilo

$
0
0
MBUNGE wa Kasulu Mjini, Moses Machali (NCCR-Mageuzi), ametangaza rasmi kwamba hatagombea tena ubunge wa jimbo hilo wakati wa uchaguzi mkuu mwaka huu.   Amesema ingawa alikuwa na nia ya kuendelea kuongoza jimbo hilo, amelazimika kuacha kwa kuwa baadhi ya viongozi wa chama chake wilayani Kasulu wanachafua jina lake bila sababu.   Machali alitangaza msimamo huo juzi mjini Kasulu

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>