Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Mkuu: Milioni 700 Kujenga Shule Ya Sekondari Ya Wasichana Ruangwa

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema Serikali imedhamiria kuboresha elimu kwa watoto wa kike nchini kote ikiwemo wilaya ya Ruangwa ambayo imepewa sh. milioni 700 kwa ajili ya kuanza ujenzi wa shule...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumanne June 23

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Lukuvi Aagiza Hati Za Ardhi Kutolewa Ndani Ya Wiki Moja

Na Munir Shemweta, WANMM TANGAWaziri wa Ardhi Nyumba na Maendeeo ya Makazi William Lukuvi ameagiza kutolewa Hati za umiliki wa ardhi ndani ya wiki pamoja pale mwananchi atakapokuwa amekamilisha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wagombea Watakaotoa Rushwa Kwa Wapiga Kura Kuchukuliwa Hatua Za Kisheria

SALVATORY NTANDUSerikali wilayani Kahama mkoani Shinyanga imesema itachukua hatua kali za kisheria kwa  Wagombea  wa nafasi za Udiwani na Ubunge ambao watabainika kuanza kampeni kabla ya muda...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Nafasi Mbalimbali za Kazi Zilizotangazwa Serikalini.....Mwisho Wa Kutuma...

1. Clearing And Forwarding Officers Grade I – 10 Post At TASAC QUALIFICATION Bachelor Degree or Advance Diploma either in Freight Clearing and Forwarding, Transport and Logistics Management, Supply...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Majengo Mapya Yaambatane Na Huduma Bora Kwa Wananchi: Jaji Kiongozi

Na Lydia Churi- Mahakama SimiyuJaji Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania Mhe. Dkt. Eliezer Feleshi amesema uzuri wa majengo ya Mahakama yanayojengwa hivi sasa hauna budi kuambatana na upatikanaji wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Askari Polisi na Watuhumiwa Wengine Wakamatwa Kwa Tuhuma za Mauaji

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linawashikilia watuhumiwa wanne akiwemo Askari Polisi mmoja namba G.8695 PC JOHN KAIJAGE [34] Mkazi wa Isyesye Jijini Mbeya, FOTUNATUS KAGANDE [23] Mkazi wa Iwambi, PETSON...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ugonjwa Wa Corona Usiwe Kigezo Cha Watoto Kukosa Chanjo

Na WAMJW - DodomaSerikali imeitaka jamii kuhakikisha watoto wanapata chanjo kipindi hichi chenye maambukizi ya Virusi vya Corona (Covid-19) ili wapate kinga ya magonjwa mengine.Rai hiyo imetolewa na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Zitto Kabwe, Seleman Bungara ( Bwege) Wakamatwa na Jeshi la Polisi Kilwa

Jeshi la Polisi Wilaya ya Kilwa Mkoa wa Lindi limemkamata Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe.Zitto Kabwe amekamatwa Leo Jumanne June 23, 2020 akiwa kwenye mkutano wa ndani wa kupokea...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jitihada Za Rais Magufuli Zaongeza Ari Ya Ulipaji Kodi Tanga

Na Mwandishi wetuWAFANYABIASHARA wa Mkoa wa Tanga, wamesema hawaoni shida ya kulipa kodi baada ya kuona utekelezaji wa miradi mikubwa ya maendeleo inayofanywa na Rais Dkt. John Pombe Magufuli kupitia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwakyembe: SADC Inatambua Mchango wa Wanahabari wa Ukanda Huu wa Afrika

Na Mwandishi Wetu-MAELEZO.Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt.Harrison Mwakyembe amesema  Jumuiya ya maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC) imeendelea kutambua mchango mkubwa wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RC Kagera Aagiza Watumishi Wanne Kusimamishwa Kazi, Na Watendaji 30 Kukamatwa...

Na Allawi kaboyo.Mkuu wa Mkoa Kagera Brig.Jen. Marco Gaguti amemwagiza kamanda wa polisi mkoani humo pamoja na Kamanda wa TAKUKURU kuwakamata watumishi 34 katika halmashauri ya wilaya Biharamulo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wziri Mkuu: Tutapeleka Umeme Kila Kijiji Tena Kwa Gharama Nafuu

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema Serikali ya Awamu ya Tano inayoongozwa na Rais Dkt. John Pombe Magufuli imedhamiria kufikisha huduma ya umeme katika vijiji vyote nchini vikiwemo na vijiji 25 vya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BREAKING: Serikali Yasitisha Leseni ya uchapishaji na usambazaji wa Gazeti la...

Serikali imesitisha leseni ya uchapishaji na usambazaji wa Gazeti la Tanzania Daima  kwa kukithiri, kujirudia makosa yanayokiuka sheria za nchi na maadili ya uandishi wa habari licha ya kuwaonya,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatano June 24

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Vijana Watakiwa Kutumia Ujuzi Wa Mafunzo Ya Kilimo Cha Kisasa Kujikwamua...

Na; Mwandishi Wetu – ManyaraVijana walionufaika na mafunzo ya Kilimo cha Kisasa kupitia teknolojia ya Kitalu Nyumba “Greenhouse” wamehimizwa kutumia ujuzi huo ili waweze kujikwamua kiuchumi kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SADC Yapitisha Mwongozo Wa Kikanda Wa Urazinishaji (Harmonization) Na...

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Prof. Palamagamba Kabudi amefungua Mkutano wa Baraza la Mawaziri wa SADC na kuzitaka nchi wanachama kushirikiana na kuchukua hatua...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ofisi Za Ardhi Za Mikoa Zatakiwa Kuwa Na Daftari La Migogoro Ya Ardhi

Na Munir Shemweta, WANMM MANYARAWazairi wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi ameziataka ofisi za ardhi za mikoa zilizozanzishwa hivi karibuni kuwa na daftari maalum lenye orodha ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Benard Membe Asisitiza Msimamo wake wa Kugombea Urais Mwaka Huu

Aliyewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Benard Membe, ameendelea kutia mkazo mpango wake wa kuwania urais kupitia chama chochote cha siasa nchini.Membe ambaye mwaka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Yanga Yampiga Faini Ya Milioni 1.5 Mchezaji Wake Benard Morrison

Uongozi wa klabu ya Yanga umempiga faini ya Sh. 1.5 Milioni nyota wake raia wa Ghana, Benard Morrison kwa kufanya mahojiano na mwandishi wa habari bila kutoa taarifa kwa klabu na kuzua hali ya...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>