Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tanzia: Mkurugenzi wa Halmashauri Wilaya ya Korogwe afariki dunia

Mkurugenzi wa Halmashauri Wilaya ya Korogwe Kwame Daftari amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Februari 16, 2021, Hospitalini jijini Dar es Salaam alipokuwa akitibiwa tangu Januari 24, 2021.Mkuu wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais mstaafu, Jakaya Kikwete Amlilia Seif Khatibu

 Rais mstaafu, Jakaya Kikwete amesema kifo cha Dk Mohamed Seif Khatibu ni pigo kwa Chama cha Mapinduzi (CCM).Waziri huyo wa zamani aliyeshika nyadhifa mbalimbali serikalini na ndani ya CCM alifariki...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Watu zaidi ya 60 wapoteza maisha katika ajali ya boti DRC

Watu wasiopungua 60 wamefariki dunia kufuatia ajali ya boti magharibi mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.Steve Mbikayi, Waziri wa Masuala ya Kibinadamu wa nchi hiyo amesema boti hiyo iliyokuwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Zuma kufunguliwa mashitaka kwa kosa la kuidharau mahakamani

Mwenyekiti wa Tume ya uchunguzi kuhusu madai ya rushwa yanayomkabili aliyekuwa rais wa Afrika Kusini Jacob Zuma, amesema anataka kiongozi huyo wa zamani kuhukumiwa kifungo gerezani kwa kushindwa kufika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Naibu Waziri Mabula Ataka Kuundwa Vikosi Kazi Kuharakisha Upimaji Ardhi

Na Munir Shemweta, WANMM GEITANaibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula ametaka kuundwa vikosi kazi kwa ajili ya kuendesha zoezi la upimaji ardhi katika mikoa ili kuongeza...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tanzania Mbioni Kusaini Mkataba Wa Eneo Huru La Biashara Ya Utatu...

Tanzania imeshiriki katika Mkutano wa Pili wa Dharura wa Baraza la Mawaziri la Utatu uliofanyika kwa njia ya video. Katika mkutano huo moja ya agenda ilikuwa nchi Wanachama kutoa taarifa kuhusu hatua...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Balozi Brigedia Jenerali Ibuge; Ushawishi Wa Tanzania Bado Ni Imara Kikanda...

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Brigedia Jenerali Wilbert A. Ibuge amaeleza kuwa nguvu ya ushawishi wa Tanzania katika majukwaa ya kikanda na kimataifa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NEMC Wasaidieni Wawekezaji Kuzingatia Sheria Ya Mazingira – Waziri Ummy Mwalimu

Serikali imesema kamwe haitakuwa kikwazo kwa wawekezaji katika kutoa vibali vya Tathmini ya Athari kwa mazingira katika kuwezesha uwekezaji na maendeleo ya viwanda.Kauli hii imetolewa hii leo na Waziri...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CDF Mabeyo Asisitiza Ushirikano Kwa Vyombo Vya Ulinzi Na Usalama

TIGANYA VINCENT, RS TABORAMkuu wa Majeshi ya Ulinzi wa Wananchi wa Tanzania Jenerali Venance Mabeyo amevitaka vyombo vya ulinzi wa usalama kuendeleza mshikamano na ushirikiano uliopo ambao umesaidia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tanzania Na Umoja Wa Ulaya Zatiliana Saini Msaada Wa Bilioni 307.9

 Na Daudi Manongi, MAELEZOSerikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imetiliana saini na Umoja wa Ulaya (EU) msaada wa mikataba ya miradi sita yenye gharama ya bilioni 307.9 itakayofadhiliwa kupitia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TECNO Yajumuika Na Wateja Wake Katika Usiku Wa Valentine.

TECNO Mobile ni moja ya kampuni iliyoshiriki vyema katika kuonyesha upendo kwa wateja wake. TECNO ilizindua rasmi promosheni ya valentine (TUNAKUTHAMINI MTHAMINI) maalumu kwajili ya kujumuika na wateja...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Umoja Wa Ulaya Waipatia Tanzania Sh. Bil. 308 Kutekeleza Miradi Mbalimbali

Na. Farida Ramadhani na Josephine Majura, WFM, DodomaUmoja wa Ulaya kupitia Mpango wa Ushirikiano wa 11 chini ya Mfuko wa Maendeleo wa Ulaya umeipatia Tanzania msaada wa Euro milioni 111.5 sawa na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatano February 17

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magufuli Atengua Uteuzi Wa Mkurugenzi Wa Manispaa Ya Kinondoni

Rais  John Magufuli ametengua uteuzi wa mkurugenzi wa manispaa ya Kinondoni jijini Dar es Salaam, Aron Kagurumjuli.Taarifa iliyotolewa na mkurugenzi wa mawasiliano ta Rais Ikulu, Gerson Msigwa inaeleza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mabadiliko Ya Kidijitali Kufungua Fursa Mpya Shirika La Posta

 Na Faraja Mpina - WMTHWaziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe. Dkt. Faustine Ndugulile ameliagiza Shirika la Posta Tanzania (TPC) kwenda sambamba na mabadiliko ya teknolojia ili kuendesha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ulega Aitaka TIRA Kusimamia Mikataba Ya Bima Iandikwe Kwa Kiswahili

 Na Grace Semfuko – MAELEZO.Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Abdallah Ulega ameitaka Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Tanzania (TIRA), kuzielekeza taasisi za bima nchini kutumia lugha ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Dk.Abbasi: Wasanii Fanyeni Kazi Bora Sio Kutafuta ‘kiki’

Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo na Msemaji Mkuu wa Serikali Dkt. Hassan Abbasi amesema Serikali haitapoteza muda na wasanii wanaofanya  “kiki”...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANZIA: Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Afariki Dunia

 Rais wa Zanzibar, Hussein Mwinyi ametangaza kifo cha Maalim Seif Sharif Hamad, Makamu wa Kwanza wa Rais aliyefariki leo Jumatano saa 5:00 asubuhi, Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Dar es...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli Aomboleza Kifo Cha Maalim Seif Sharif Hamad

Rais John MagufuliI amepokea kwa masikitiko kifo cha aliyekuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad, ambaye amefariki dunia leo Jumatano, Februari 17, 2021, katika Hospitali...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DC Chongolo Atoa Siku Saba Soko Jipya La Magomeni Kuanza Kutumika

 Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Mhe. Daniel Chongolo ametoa siku saba kwa wafanyabiashara wa Soko la Magomeni kuanza kufanya biashara zao katika soko jipya la kisasa ambalo tayari...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>