Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali Yatoa Ratiba Ya Mazishi Ya Mzee Mkapa......Waziri Mkuu Asema Ataagwa...

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tatu Mhe. Benjamin William Mkapa ataagwa Kitaifa Jumanne Julai 28 katika Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam na atazikwa kijijini kwao...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Live: Tazama Rais Magufuli Anavyoongoza Mkapa Kuzikwa, Vilio, Huzuni Yatawala

Live: Tazama Rais Magufuli Anavyoongoza Mkapa Kuzikwa, Vilio, Huzuni Yatawala

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ratiba ya Mazishi ya Hayati Benjamin William Mkapa,Rais Mstaafu wa Awamu ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Mkuu wa Burundi Jenerali Alain Guillaume aondoka nchini leo

Waziri Mkuu wa Burundi Jenerali Alain Guillaume ameondoka nchini  leo Julai 29,2020 baada ya kuwasilisha salamu za pole kufuatia kifo cha Mzee Mkapa.Mwenyeji wake Waziri wa Viwanda Mhe.Innocent...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwijaku afikishwa mahakamani akituhumiwa kusambaza picha za ngono

Msanii wa uigizaji nchini Tanzania, Mwemba Burton (35) maarufu Mwijaku amepandishwa kizimbani Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam akituhumiwa kusambaza picha za ngon kinyume cha sheria...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli: Mkapa Alikataa Kuzikwa Dodoma

Rais John Magufuli amesema rais mstaafu wa awamu ya tatu, Benjamin  Mkapa alipenda nyumbani kwao Masasi ndiyo maana alikataa kuzikwa katika eneo lililotengwa jijini Dodoma kwa ajili ya viongozi wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA: Wanajeshi wakitoa heshima zao za mwisho kwa Rais Mstaafu, Benjamin Mkapa

Wanajeshi wakitoa heshima zao za mwisho kwa Rais Mstaafu, Benjamin Mkapa katika mazishi yako Lupaso, Masasi mkoani Mtwara. 

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA: Mama Anna Mkapa,Rais Magufuli Wakielekea kaburini kuweka udongo katika...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa pamoja na Mjane wa Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu Marehemu Benjamin William Mkapa, Mama Anna Mkapa wakati wakielekea...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA: Mkuu wa Majeshi, Jenerali Venance Mabeyo akiweka udongo katika kaburi...

Mkuu wa Majeshi, Jenerali Venance Mabeyo akiweka udongo katika kaburi la Rais Mstaafu wa Awamu ya tatu, Benjamin Mkapa, na kisha akapiga saluti kama ishara ya heshima.

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA: Jeneza ambalo lina mwili wa Rais Mstaafu, Benjamin Mkapa likiingizwa...

PICHA: Jeneza ambalo lina mwili wa Rais Mstaafu, Benjamin Mkapa likiingizwa kaburini kijijini kwao Lupaso.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Picha 13: Rais John Pombe Magufuli Aongoza Watanzania Katika Mazishi Ya Rais...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiweka udongo kwenye kaburi la Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu Marehemu Benjamin William Mkapa katika Mazishi yaliyofanyika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Watanzania Watakiwa Kuepuka Habari Za Uzushi

Watanzania wametakiwa kulisemea mambo mazuri Taifa lao ili kuwa na kidiplomasia nzuri na Mataifa mengine hususani wakati huu ambapo Taifa linaomboleza kifo Hayati Benjamini William Mkapa na kuachana na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tanzania Yachukuwa Uenyekiti Wa Nchi 79 Za OACPS Na Kuelezea Kipaumbele Chake...

Tanzania imesema itatumia kipindi chake cha uenyeketi wa nchi za Afrika,Caribbean na Pacific na Umoja wa nchi za Ulaya katika kusisitiza juu ya urejeshwaji wa rasilimali zilizoporwa katika nchi hizo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Alhamisi July 30

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kanuni bora za ufugaji wa kuku wa kienyeji(kuku Asili)....Soma Hapa Uwe Tajiri

Ufugaji wa kuku wa asili ni nyenzo muhimu katika kupambana na wimbi la umasikini kwa kuongeza kipato cha kaya. Hata hivyo, pamoja na soko la uhakika, bado ufugaji kuku haujaweza kutumika ipasavyo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wafanyabiasahara wawili Kortini Kwa Kutakatisha Bilioni 5.5

Wafanyabiasahara wawili wamefikishwa mahakamani wakikabiliwa na mashtaka saba ikiwamo kukwepa kodi na kutakatisha Sh. bilioni 5.5.Washtakiwa hao ni Ike Godfrey maarufu kama Maliki (30), mkazi wa Tabata...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA: Rais Magufuli, Alhaj Ali Hassan Mwinyi, Jakaya Mrisho Kikwete...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuliakiwa na Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili Alhaj Ali Hassan Mwinyi, Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete wakijiandaa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tundu Lissu Akwama Kuhudhuria Kesi Yake Mahakamani

Kesi ya uchochezi inayomkabili Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu leo Julai 30, 2020, imeahirishwa hadi Agosti 26, baada ya mtuhumiwa kushindwa kufika mahakamani.Kesi hiyo namba 236 ya mwaka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

LIVE: Rais Magufuli Anazungumza na Wananchi

LIVE:  Rais Magufuli Anazungumza na Wananchi

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wananchi wa Somanga Mkoani Lindi Wamshukuru Rais Magufuli, Mzee Amkabidhi...

Wananchi wa Somanga Mkoani Lindi wamemshukuru Rais Magufuli kwa kuwapa fedha na kujengwa Kituo cha Afya. Mzee Kimbwembwe amempa zawadi ya jogoo.

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>