Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TCRA Yavipiga Faini Vyombo vya Habari Sita vya Utangazaji kwa kurusha maudhui...

Mamlaka  ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imevitoza faini ya Sh milioni 30 vyombo vya habari sita, kwa kukiuka kanuni na maadili ya utangazaji ikiwamo redio ya Clouds FM kuzungumzia supu ya pweza...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Majimbo manne ya uchaguzi Zanzibar Yafutwa

Tume ya Uchaguzi Zanzibar imefuta majimbo manne ya uchaguzi Zanzibar na kubakiza majimbo 50 badala ya majimbo 54 yaliokuwepo awali.Jaji Mkuu Mstaafu, Hamid Mahmoud Hamid, Mwenyekiti wa ZEC ametangaza...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wanachama na Wafuasi wa Chama Cha ACT-Wazalendo Wamchangia 500,000 Maalim...

Wanachama na Wafuasi wa Chama Cha ACT-Wazalendo wa Micheweni kisiwani Pemba wameamua kumchangia fedha Maalim Seif Sharif Hamad kuwania tena urais wa Zanzibar katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wizara ya Elimu yasema tathmini waliyofanya imebaini ni ngumu kuongeza saa 2...

Wizara ya Elimu imetolea ufafanuzi ongezeko la saa 2 za masomo kwa Wanafunzi baada ya Shule zote nchini kufunguliwa ili kufidia muda ambao umepotea kutokana na mlipuko wa CoronaVirusWizara hiyo imesema...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Taarifa Kwa Umma: TCRA Yazipiga Faini Ya Mamilioni Kampuni Za Simu Nchini

Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imetoa adhabu kwa makampuni ya simu yafuatayo: Airtel Tanzania Plc, MIC Tanzania Plc, Smile Communications Tanzania Ltd, Tanzania Telecommunications Cooperation,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAKUKURU Yarejesha Zaidi Ya Shilingi Milioni15 Zilizokuwa Zimeliwa Na Wajanja...

SALVATORY NTANDUTaasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga imefanikiwa kurejesha  fedha shilingi milioni 15,056,125 kwa walimu wastaafu na halmashauri ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri wa Mambo ya Nje Prof. Kabudi ateta na Mjumbe Maalum wa Maziwa Makuu

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIDodoma, 2 Julai 2020Tanzania inaamini katika umoja wa jumuiya ya kimataifa kwenye kutafuta ufumbuzi wa changamoto zinazoikabili dunia ikiwemo mlipuko wa ugonjwa wa Corona....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Migodi Lazima Itekeleze Sheria ya Local Content- Biteko

Na. Issa Mtuwa – WM – GeitaWaziri wa Madini amesema yapo mambo mengi yanayozungumzwa na kukubaliana kati ya Serikali na Mgodi wa Dhahabu wa Geita (GGML) hususani ulipaji wa Kodi na utekelezaji wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Taarifa Kwa Umma Toka Wizara Ya Fedha Kuhusu Tanzania Kuingia Kwenye Kundi La...

SERIKALI ya Tanzania chini ya uongozi mahiri wa Mheshimiwa Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli, imeandika historia baada Benki ya Dunia kuitangaza rasmi kuwa nchi yenye uchumi wa kipato cha kati...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Bashungwa: Tanzania Kuingia Uchumi wa Kati Itavuta Wawekezaji Wengi.

Na.Mwandishi Wetu-MAELEZOSerikali imewataka Wananchi kuendelea kupenda bidhaa zinazozalishwa na viwanda vya hapa nchini kwani chanzo cha nchi kufikia uchumi wa kati ni pamoja na wananchi wake...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Habari Zilizopo Latika Magazeti ya Leo Ijumaa July 03

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tanzania Kuna Fursa Ya Kubwa Ya Kuleta Mapinduzi Katika Tasnia Ya Mbolea –...

Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Bwana Gerald Musabila Kusaya kusaya amesema Tanzania ina nafasi yakubwa ya kuleta mapinduzi makubwa katika Sekta ya Kilimo ikiwa kila Mdau kwenye mnyororo wa thamani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waliowauzia Wafugaji Ng’ombe Wasio Na Sifa Wasakwa

Na. Edward KondelaSerikali imeagiza kutafutwa kwa watu waliohusika kuwauzia kwa njia ya mkopo wafugaji ng’ombe wa maziwa waliozaa tayari na kuwahadaa wafugaji kuwa ng’ombe hao hawana uzao wowote...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Vijiji Vinavyochipukia Kuwa Miji Kutangazwa Maeneo Ya Mipango Miji

Na Munir Shemweta, WANMM KIGOMAWaziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi amewataka Maafisa Mipango Miji nchini kuzisaidia wilaya kuhakikisha maeneo yote ya vijiji yanayochipukia kuwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tembelea banda la Tigo msimu huu wa Saba Saba 2020

Kampuni ya mawasiliano inayoongoza kwa kutoa huduma za kidigitali nchini, Tigo Tanzania inawakaribisha wadau na wateja wake pamoja na wananchi wote kwa ujumla katika banda lao lililopo viwanja vya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ajali Mbaya ya Lori na Noah Yaua Watano Dodoma

Watu 5 wamefariki  na 2 kujeruhiwa baada ya gari dogo aina ya Noah lililokuwa likitokea Morogoro kwenda Dodoma kugongana na lori eneo la kibaigwa jijini Dodoma .Kamanda wa Polisi mkoani Dodoma, Gilles...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Angela Kairuki Awataka TPC Kuzalisha Sukari Ya Viwandani

Na Dixon Busagaga -Kilimanjaro .Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, anayeshughulikia uwekezaji, Angela Kairuki,ameutaka uongozi wa Kiwanda cha Sukari cha TPC, kilichopo Wilaya ya Moshi, mkoani...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

India yanunua ndege za kivita za Urusi

Wizara ya ulinzi ya India imetia saini jana kununua ndege 33 za kijeshi kutoka Urusi na 59 nyingine kuzifanya za kisasa zaidi zenye thamani ya dola bilioni 2.4, huku kukiwa na ongezeko la hali ya wasi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Uhusiano Uliopo Kati ya Punyeto na Ukosefu wa Nguvu za Kiume

Ukosefu  na/ama  upungufu  wa  nguvu  za  kiume, ni  tatizo  linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume  duniani.   Zipo  sababu  nyingi  zinazo  sababisha  tatizo  la  ukosefu  wa  nguvu  za  kiume....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli Afanya Uteuzi wa Wakuu Wa Mikoa na Wakuu wa Wilaya....Aggrey...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 03 Julai, 2020 amefanya uteuzi wa Wakuu wa Mkoa 2 kama ifuatavyo.Kwanza, Mhe. Rais Magufuli amemteua Dkt. Philemon...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>