Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Ummy Aridhishwa Na Kasi Ya Ujenzi Wa Hospitali Ya Rufaa Mtwara

Na. WAJMW-MtwaraWaziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu ametembelea ujenzi wa Hospitali mpya ya Rufaa ya Mikoa ya kusini iliyopo mkoani Mtwara na kuridhishwa na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Sheria ya Kumiliki Laini MOJA Kwa Kila Mtandao Yaanza Leo

Sheria  iliyopitishwa na Bunge hivi karibuni kuzuia kumiliki laini ya simu zaidi ya moja kwa mtandao mmoja wa simu imeanza kutumika leo, Julai 1, 2020.Hata hivyo, Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA)...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHADEMA Yafungua Pazia Kwa Wagombea wa Urais, Uwakilishi na Udiwani Zanzibar

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimesema, fomu za kuwania urais wa Zanzibar katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2020 zitaanza kutolewa kuanzia Julai 4 hadi 19, 2020.Hayo yamesemwa leo Jumatano...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli Afanya Mazungumzo Kwa Njia ya Simu na Rais wa Msumbuji, Filipe...

RAIS  Magufuli leo  amefanya mazungumzo kwa njia ya simu na Rais wa Msumbuji, Filipe Jasinto Nyusi ambapo viongozi hao wamezungumzia masuala mbalimbali yahusuyo uhusiano na ushirikiano wa Tanzania na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Benki ya Dunia yaiweka Tanzania katika nchi zenye uchumi wa kati

Benki ya Dunia leo imeiweka Tanzania rasmi katika orodha ya nchi za uchumi wa Kipato cha Kati, ikiwa ni miaka mitano kabla ya lengo la Dira ya Taifa ya Maendeleo 2025.Kupitia Ukurasa wake wa Twitter,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Watanzania Jitokezeni Kuwekeza Katika Sekta Ya Utalii- Kigwangallah

Na. Aron Msigwa – WMU.Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Hamisi Kigwangalla ametoa wito kwa watanzania wajitokeze kuwekeza katika biashara ya Utalii kwa kuwa masharti ya kuwekeza katika biashara hiyo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wanafamilia watano wakamatwa kwa tuhuma za mauaji Jijini Mbeya

Jeshi la Polisi Mkoani Mbeya linawashikilia watu watano wa familia moja akiwemo mke wa marehemu kwa tuhuma za kumuua, Ally Mazinge (66) mkazi wa Ubaruku wilayani Mbarali.Akizungumza na waandishi wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwalimu Atiwa Mbaroni Jijini Mbeya Kwa Wizi wa Milioni 34

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linamshikilia JOSEPH SHILA [29] Mwalimu Shule ya Msingi Mwakareli na Mkazi wa Mwakareli kwa tuhuma za wizi wa fedha Tshs.Milioni 34,000,000/= mali ya mwalimu mstaafu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ndugu wafukua maiti iliyozikwa miezi 3 Jijini Mbeya....Jeshi la Polisi Latoa...

Ndugu wa Marehemu Tulizo Konga wa Kijiji cha Igumbilo Kata ya Chimala mkoani Mbeya, wamefukua kaburi la ndugu yao mara baada ya kupata kibali kutoka kwa mamlaka za kisheria  ili kupata uhakika wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Taarifa Kwa Umma Kutoka Mamlaka ya Mawasiliano -TCRA:Ufafanuzi wa...

1.0 UTANGULIZI Kanuni za Mawasiliano ya Kielektroniki na Posta (Usajili wa Laini za Simu) za mwaka 2020, yaani “The Electronic and Postal Communications (SIM Card Registration) Regulations, 2020”,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali Yafanikiwa Kuokoa Shilingi Tirioni 11.4

Na. Dennis Buyekwa- OSG Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali imefanikiwa kuokoa kiasi cha shilingi Tirioni 11.4 baada ya kushinda mashauri mbalimbali...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Alhamisi July 02

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Wa Fedha Dr. Mpango Amtaka Mkandarasi Hospitali Ya Wilaya Ya Buhigwe -...

Na. Josephine Majula na Peter Haule, WFM, KigomaWaziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Isdor Mpango, ameuagiza uongozi wa Mkoa wa Kigoma kumsimamia ipasavyo mkandarasi anayejenga Hospitali ya Wilaya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais wa Urus Vladimir Putin ashinda kura ya maoni; atabakia madarakani hadi 2036

Rais wa Urus Vladimir Putin ameshinda kura ya maoni ambayo itamuwezesha kubakia madarakani hadi 2036Putin mwenye  umri  wa  miaka  67, amekuwa  madarakani kama rais na  pia  waziri  mkuu  kwa  miongo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Lukuvi Awashukia Viongozi Wapora Ardhi

Na Munir Shemweta, WANMM KATAVIWaziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi amekerwa na tabia ya baadhi ya viongozi kuhusika kupora ardhi ya wananchi na kueleza kuwa muarobaini wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAKUKURU wilaya ya Kiteto yasaidia kurejesha Mahindi ya Kijiji.

Na John Walter-ManyaraTaasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa  wilaya ya Kiteto mkoa wa  Manyara ,imefanikiwa kurejesha  mahindi gunia 45 katika kijiji cha Loltepes.Mkuu wa TAKUKURU wilaya ya Kiteto...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Taarifa Kwa Umma Kutoka Mamlaka ya Mawasiliano -TCRA:Ufafanuzi wa...

1.0 UTANGULIZI Kanuni za Mawasiliano ya Kielektroniki na Posta (Usajili wa Laini za Simu) za mwaka 2020, yaani “The Electronic and Postal Communications (SIM Card Registration) Regulations, 2020”,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Msemaji wa Serikali atoa Siri 10 zilizopelekea Tanzania kuingia uchumi wa kati

Msemaji Mkuu wa Serikali, Dkt. Hassan Abbasi ametaja  siri 10 zilizopelekea Tanzania kuingia katika uchumi wa kati miaka mitano kabla ya lengoAmesema Tanzania imekua miongoni mwa nchi 50 Duniani, nchi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Gari nne zagongana na kusababisha ajali Pwani

Gari nne yakiwemo malori mawili ya mafuta yamegongana na kusababisha ajali katika eneo la Mlandizi mkoani Pwani usiku wa kuamkia leo Julai 2.Ajali hiyo imetokea majira ya saa 5 Usiku wa jana Julai...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jinsi Ya Kuondoa Kitambi Ndani Ya Siku Kumi Na Nne Kwa Kutumia Supu Ya...

Ipo idadi  kubwa  duniani  ya  watu  wanao  kabiliwa  na  tatizo  la  kuwa  na  kitambi, wanawake  kwa  wanaume.Kwa  mujibu  wa tafiti  mbalimbali  za  kitaalamu, kuwa  na  kitambi  ni  lugha  ya...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>