Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

CHADEMA Yafungua Pazia Kwa Wagombea wa Urais, Uwakilishi na Udiwani Zanzibar

$
0
0
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimesema, fomu za kuwania urais wa Zanzibar katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2020 zitaanza kutolewa kuanzia Julai 4 hadi 19, 2020.

Hayo yamesemwa leo Jumatano tarehe 1 Julai 2020 na Naibu Katibu Mkuu wa Chadema-Zanzibar, Salumu Mwalimu alipozungumza na waandishi wa habari kuhusu mchakato wa kumpata mgombea urais, ubunge na uwakilishi.

Amesema, mchakato wa uchukuaji na urejeshaji fomu kwa mwanachama wa chama hicho anayetaka kugombea Urais wa Zanzibar utahitimishwa saa 10:00 jioni ya tarehe 19 Juni 2020.


Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>