Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Bajeti Kuu Ya Serikali Kusomwa Leo Bungeni

Macho  na masikio yanatarajiwa kuelekezwa bungeni jijini Dodoma leo wakati serikali itakapowasilisha makadirio ya bajeti yake kwa mwaka ujao wa fedha.Mpango wa Maendeleo ya Taifa na ukomo wa bajeti ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

LIVE Toka Bungeni: Mkutano Wa 19 - Kikao Cha 43: Tarehe 11 June, 2020

LIVE Toka Bungeni:  Mkutano Wa 19 - Kikao Cha 43: Tarehe 11 June, 2020

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali Yazindua Mwongozo Wa Taifa Wauendeshaji Wa Shughuli Za Utalii Nchini...

Serikali imezindua rasmi mwongozo wa uendeshaji wa Shughuli za Utalii nchini Tanzania wakati huu wa janga la Corona na kuwataka wadau sekta hiyo kuzingatia matakwa yaliyo katika mwongozo huo ili...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wafanyabiashara Dar Waelimishwa Kuhusu Kodi Ya Zuio

Na Veronica KazimotoMamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imewaelimisha wafanyabiashara wa maeneo ya Tabata jijini Dar es Salaam kuhusu Kodi ya Zuio na kutoa wito kwa wamiliki wa majengo, fremu na ardhi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Taarifa Ya Hali Ya Uchumi Wa Taifa Kwa Mwaka 2019 Na Mpango Wa Maendeleo Wa...

UTANGULIZI1.          Mheshimiwa Spika, naomba kutoa hoja kwamba Bunge lako Tukufu lipokee na kujadili Taarifa ya Hali ya Uchumi wa Taifa kwa Mwaka 2019 na Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Taarifa Kwa Umma Toka Jeshi La Polisi Mkoa wa Mbeya

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya limefanikiwa kuwaua majambazi wawili na kufanikiwa kukamata silaha bunduki moja iliyotengenezwa kienyeji inayotumia risasi za Shotgun.Ni kwamba mnamo tarehe 09.06.2020...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Taarifa Kwa Watanzania Wanaoishi China

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Watu 8 Wafariki Kwa Ajali Ya Lori, Hiace na Trekta Jijini Mwanza

Watu nane wamefariki dunia na wengine watano wamejeruhiwa baada ya lori kugonga trekta na baadae kugongana na basi dogo aina ya hiace katika eneo la Ihayabuyaga kata ya Bukandwe wilaya ya Magu mkoani...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli Amsamehe aliyekuwa Kamishna Mkuu wa Jeshi la Zimamoto na...

Rais wa Tanzania, Dkt Magufuli ametangaza kumsamehe aliyekuwa Kamishna Mkuu wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, Thobias Andengenye baada ya kiongozi huyo kumuomba msamaha mara kadhaa.Rais ametangaza...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mkurugenzi Mkazi Wa WFP Apongeza Uamuzi Wa Rais Magufuli Wa Kutoweka Zuio La...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

IMF Yaisamehe Tanzania Deni la Mabilioni Ya Pesa

Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) imeidhinisha msamaha wa madeni ya Serikali ya Tanzania wa  Dola za Marekani 14.3 milioni inayodaiwa na shirika hilo ili zisadie katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Watanzania 146 Waliokwama Nchini Saudi Arabia Kutokana Na Mlipuko Wa Ugonjwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ukuaji wa pato halisi la Taifa kupungua na kufikia asilimia 5.5

Waziri wa Fedha na Mipango Dkt Philip Mpango amesema kuwa ukuaji wa pato halisi la Taifa unatarajiwa kupungua kutoka maoteo ya awali ya asilimia 6.9 na kufikia asilimia 5.5 mwaka 2020 ikilinganishwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

LIVE: Bajeti Kuu Ya Serikali Inasomwa Muda Huu Bungeni

LIVE:  Bajeti Kuu Ya Serikali Inasomwa Muda Huu Bungeni

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Teknolojia ya kidijitali inavyoleta mapinduzi ya kiuchumi Tanzania

Teknolojia ya kidijitali inavyoleta mapinduzi ya kiuchumi TanzaniaKatika miaka ya karibuni ukuaji wa teknolojia ya kidijitali umezipa nchi nyingi faida mbalimbali za kibunifu ambazo zinazochochea...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali Kuwashika Mkono Wataalamu Wa Tiba Asili Nchini

Na. Majid Abdulkarim, DodomaRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli ametoa maelekezo kwa Wizara ya Afya kuwa kitengo cha dawa asili kiendelezwe kwa nguvu zote na bajeti...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Ijumaa Juni 12 , 2020

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAKUKURU Yaanza Rasmi kuwahoji Wabunge 69 Wa CHADEMA

Na Faustine Gimu Galafoni,DodomaTaasisi ya kuzuia na kupambana  na rushwa  nchini TAKUKURU imeanza rasmi  kuwahoji  Wabunge  69 wa Chama cha Demokrasia  na Maendeleo (CHADEMA) jijini  Dodoma  ambapo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Huduma za Afya Zaboreshwa Bunda na Kuondoa Kero kwa Wananchi

Jonas Kamaleki, BundaUtoaji wa huduma za Afya umeboreshwa baada ya Serikali kutoa milioni 500 kwa ajili ya ujenzi wa Kituo cha Afya Bunda, mkoani Mara.  Baadhi ya wakazi wa Bunda wameipongeza Serikali...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wakulima 39 Wapatiwa Ruzuku Ya Pembejeo Za Kilimo Kahama.

SALVATORY NTANDUKatika jitihada za kuhakikisha sekta ya kilimo inakua na wakulima wananufaika, Halmashauri ya Mji wa Kahama mkoani Shinyanga imetoa ruzuku ya pembejeo bure zenye thamani ya shilingi...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live