Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatano June 10

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Viwanja Vinauzwa Bei nafuu: Bunju na Mapinga

Viwanja Bei nafuu: Bunju na Mapinga Kwa Mapinga; viwanja vipo (Mji mpya) karibu na Kimere resort, km 2 kutoka main road (Dar to Bagamoyo Road).Hapa vipo viwanja vya: 15/15 bei million 3,20/20 bei...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali Kurudisha Zao La Shahiri Na Kutatua Adha Katika Zao La Zabibu

Na. Majid Abdulkarim, DodomaSerikali imekutana na wadau wa zao la shahiri na zabibu kwa lengo la kurejesha zao la shahiri na kutatua changamoto zilizopo katika sekta ndogo ya Zabibu ili kuweza kukuza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Halmashauri Zatakiwa Kuwa Na Operesheni Maalum Ya Upimaji Ardhi

Na Munir Shemweta, WANMM TARIMENaibu Waziri wa Ardhi nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula ameziagiza halmashauri nchini kufanya operesheni maalum ya kupima na kumilikisha ardhi ili...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Nyavu Haram 110, kokoro 2 na timber 32 Zakamatwa Na Kuteketezwa Wilayani Busega

Jumla ya Nyavu 110, kokoro 2 na timber 32 zilizokuwa zinatumika katika uvuvi haram zimekamatwa na kuteketezwa na Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Busega. Vifaa hivyo vimekamatwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wanunuzi Wa Kahawa Marufuku Kununua Kahawa Usiku

Na: Allawi KaboyoMkuu wa Mkoa wa Kagera Brigedia Jenerali Marco E. Gaguti azindua rasmi msimu wa Kahawa wa mwaka 2020/2021 ikiwa ni pamoja na kutangaza bei  ya malipo ya awali shilingi 1200 kila kilo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Dkt. Abbasi: Watakaoshindwa Kufuata Mwongozo Afya Michezoni Watachukuliwa...

Na Kelvin Kanje, MwanzaKatibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo na Msemaji Mkuu wa Serikali, Dkt. Hassan Abbasi,  tarehe 9 Juni, 2020, ameendelea na ziara ya kukagua, pamoja na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAKUKURU Makao Makuu Kuwahoji Wabunge 69 wa CHADEMA Kuhusu Matumizi Ya Fedha...

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) nchini Tanzania, inatarajia kuwahoji wabunge 69 wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kuhusu tuhuma za matumizi mabaya ya fedha,   Taarifa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mbunge wa Nkasi CCM, Ally Kessy Ataka Rais Magufuli Aongezewe Muda....Spika...

Mbunge wa Nkasi CCM, Ally Kessy ameliomba Bunge kumuongezea muda wa kutawala Rais John Magufuli hata kama yeye Rais hataki kwa kubadili Ibara inayoweka kikomo cha kipindi cha urais.Akijibu hoja hiyo,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Azimio La Kumpongeza Rais Magufuli Kwa Mapambano Dhidi ya Corona Lapita Kwa...

Na.Faustine Gimu Galafoni,Dodoma.Bunge limefanya   azimio La Kumpongeza  Rais   Wa  Jamhuri Ya  Muungano  Wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Joseph Magufuli, Kwa Namna Alivyoliongoza Taifa  Katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Naibu Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel Ateta Na Madereva Wa Malori, Namanga

Na WAMJW- Arusha.Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Godwin Mollel amefanya ziara katika mpaka wa Tanzania na Kenya Namanga Jijini Arusha na kuzungumza na madereva wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) inatekeleza haki za binadamu kwa kutoa...

Na.Mwandishi Wetu-MAELEZORais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Ali Mohamed Shein amesema kuwa Serikali inatekekeleza utawala bora kwa wananchi kwa kuwapatia huduma za jamii...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwenyekiti Wa CCM Rais Magufuli Aongoza Kikao Cha Kamati Kuu Ya Halmashauri...

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM Rais Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiendesha Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi CCM Chamwino mkoani Dodoma leo tarehe 10 Juni...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kutana na Mtabibu wa Nyota Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH

Kutana na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH mjukuu wa chiffu segere Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili ya Africa Mwenye UWEZO Kubaini tatizo lako Pindi tu Utakapo fanya mawasiliano...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Riwaya Kali ya Kusisimua....SIN- Sehemu Ya 15

Mwandishi- EDDAZARIA G.MSULWAAge-18+Simu-0657072588(whatsapp) au 0768516188ILIPOISHIA“Ila sijui kwa nini aliye wapa kazi hakuhitaji kunia kwa kutumia watekaji wake. Ila nina hisi ana hitaji siku moja...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Yaliyojiri Kwenye kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA: Spika Ndugai Awasili Hospitali Kumjulia Hali Freeman Mbowe

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai amefika Hospitalini Dodoma kumjulia hali Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe aliyelazwa hapo baada ya kushambuliwa usiku wa kumkia leo na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jinsi Ya Kuandika CV Nzuri Ambayo Itamvutia Mwajiri na Kukufanya Upate KAZI...

WATU wengi nchini wamekosa ajira  kwa sababu ya makosa wanayoyafanya wakati wa kuandika CV zao.Kumbuka,  makampuni  karibia yote yanayotangaza nafasi za kazi hupokea wastani wa maombi 200-500 ya kazi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ufugaji wa nguruwe : Gharama na Faida Zake

 UtanguliziNguruwe ni mnyama amabaye hutumika kama chakula / mboga na pia ni zao la biashara kwa mfugaji, mjasirimali na mfanyabiashara.  NGURUWE HUTEGEMEA SANA MAMBO YAFATAYO1 . Banda imara na rafiki...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Alhamisi June 11

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>