Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali yaagiza Chuo cha Diplomasia kuongeza tafiti, machapisho

Serikali imekiagiza Chuo cha Diplomasia kujikita kuongeza tafiti pamoja na machapisho mbalimbali kwa lengo la kuwawezesha wahitimu wa chuo hicho kutoa mchango wao katika Taifa hususani wakati huu wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ajali Ya Gari Kugonga Gari Na Kisha Kugonga Bajaji na Kusababisha Kifo Na...

AJALI YA GARI KUGONGA GARI NA KISHA KUGONGA BAJAJI KUSABABISHA KIFO NA MAJERUHI.Mnamo tarehe 08.06.2020 majira ya saa 10:00 Asubuhi huko eneo la Nzovwe, Kata ya Itende, Tarafa ya Iyunga, Jijini Mbeya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Maswali 15 Yanayoulizwa Mara kwa Mara Kwenye Usaili ( Interviews ) na Namna...

Usaili wa ajira (interviews) husababisha hofu na msongo wa mawazo kwa vijana wengi kabla au baada ya kutoka chumba cha usaili.Tatizo hilo hutokana na hofu inayojenga wakati wa kujibu maswali...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumanne June 9

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Freeman Mbowe Ashambuliwa na Kujeruhiwa na Watu Wasiojulikana

Mwenyekiti wa Taifa wa Chadema ambaye pia ni Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe amejeruhiwa baada ya kuvamiwa na watu wasiojulikana usiku wa kuamkia leo Dodoma.Taarifa rasmi za...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Korea Kaskazini kusitisha mawasiliano yote na Korea Kusini

Korea Kaskazini imesema itasitisha njia zote za mawasiliano na Korea Kusini wakati ikiendeleza shinikizo dhidi ya jirani yake kwa kushindwa kuwazuia wanaharakati kusambaza mpakani vipeperushi vya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Taarifa za Awali za Jeshi La Polisi Kuhusu Kuvamiwa na Kujeruhiwa Freeman Mbowe

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, Gilles Muroto, amesema kuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Freeman Mbowe, amevamiwa na watu watatu waliomkanyaga na kumvunja mguu wake wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Naibu Waziri Mabula Akerwa Mshauri Elekezi Kukwamisha Mradi Hospitali Ya...

Na Munir Shemweta, WANMM MUSOMANaibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula amesikitishwa na hatua ya kusimamisha ujenzi wa miundombinu kwenye mradi wa kimkakati wa Hospitali...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Katibu Mkuu Kusaya Hajaridhishwa Na Ujenzi Wa Vihenge Shinyanga.

Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Gerald Kusaya leo (08.06.2020) amefanya ziara ya kushtukiza kwenye eneo la ujenzi wa vihenge vya kisasa (silos) mjini Shinyanga na kuelezea kutoridhishwa na kasi ya ujenzi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mfumuko Wa Bei Wa Taifa Wapungua Hadi Asilimia 3.2% Kutoka Asilimia 3.3%

Na.Faustine Gimu Galafoni,Dodoma.Mfumuko wa bei wa Taifa kwa mwaka ulioishia mwezi Mei  umepungua hadi asilimia 3.2 kutoka asilimia 3.3 kwa mwaka ulioishia mwezi Aprili 2020.   Hayo yamesemwa jijini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA: Naibu Spika Dkt Tulia Ackson Akiwasili Hospitali Kumjulia Hali Freeman...

Naibu Spika, Dkt Tulia Ackson akiwasili katika Hospitali ya DCMC Ntyuka kumjulia hali M/Kiti wa Chadema na Kiongozi wa Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe aliyelazwa katika hospitali hiyo akipatiwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA: Spika Ndugai Awasili Hospitali Kumjulia Hali Freeman Mbowe

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai amefika Hospitalini Dodoma kumjulia hali Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe aliyelazwa hapo baada ya kushambuliwa usiku wa kumkia leo na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA: Freeman Mbowe Akiwa Amelazwa Baada Ya Kushambuliwa na Kuvunjwa Mguu...

Mwenyekiti wa Taifa wa CHADEMA ambaye pia ni Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe akiwa amelazwa katika hospitali ya DCMCT Ntyuka mkoani Dodoma kwa matibabu baada ya kushambuliwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Amjulia Hali Freeman Mbowe

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa leo Juni 9, 2020 amemtembelea na kumjulia hali Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe ambaye amelazwa katika hospitali ya Ntyuka jijini Dodoma kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Hasunga Atangaza Mifumo Mitatu Uuzaji Wa Kahawa, Wanunuzi Binafsi Ruksa

Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo-SongweIli kukabiliana na changamoto ya uuzaji wa mazao mbalimbali ya wakulima nchini katika kipindi hiki cha Ugonjwa wa homa ya mapafu unaosababishwa na Virusi vya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wafanyabiashara Waishukuru TR Kwa Kuwaelimisha Masuala Ya Kodi

Na Veronica KazimotoWafanyabiashara wa Tabata jijini Dar es Salaam wameishukuru Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kwa kuwaelimisha masuala mbalimbali yanayohusu kodi na kusema kuwa, elimu hiyo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Freeman Mbowe Ahamishiwa Dar Es Salaam Kwa Ajili Ya Matibabu Zaidi

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe amewahamishiwa jijini Dar es Salaam kwa ajili ya matibabu zaidi baada ya kushambuliwa usiku wa kuamkia leo jijini...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BREAKING NEWS: Rais wa Burundi aliyemaliza muda wake, Pierre Nkurunziza...

Aliyekua Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza amefariki dunia  kwa mshtuko wa Moyo Serikali ya Burundi imetangaza hayo leo kupitia ukurasa wake rasmi wa Twitter.Ujumbe kwenye ukurasa huo umeeleza kuwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ugonjwa Wa Corona Unaelekea Kuisha Nchini-Waziri Ummy

Na WAJMW-DOMWaziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu amesema ugonjwa wa Corona unaelekea kuisha nchini ambapo mikoa zaidi ya 15 haijaripoti mgonjwa yeyote wa Corona...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tumefanya Maboresho Kwenye App Yetu ya Mpekuzi Ili Kukuwezesha Kupata Habari...

Tumefanya maboresho katika App yetu ya MPEKUZI ili kuendana na changamoto ya sasa ya janga la Corona inayoikumba dunia NzimaUsikubali kupitwa na taarifa muhimu zinazoendelea hapa nchini na Duniani  kwa...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>