Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

BREAKING NEWS: Rais wa Burundi aliyemaliza muda wake, Pierre Nkurunziza afariki dunia.

$
0
0
Aliyekua Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza amefariki dunia  kwa mshtuko wa Moyo

Serikali ya Burundi imetangaza hayo leo kupitia ukurasa wake rasmi wa Twitter.

Ujumbe kwenye ukurasa huo umeeleza kuwa serikali ya Burundi inatangaza kwa masikitiko makubwa kifo cha Rais Nkurunziza na kuongeza kuwa amefariki kutokana na tatizo la moyo.


Nkurunziza alizaliwa Desemba 18, 1963, ambapo alikuwa Mwenyekiti wa chama tawala cha CNDD-FDD, hadi alipochaguliwa kama Rais wa Burundi mwaka 2005.


Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>