Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Ijumaa June 5

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tufanye mambo gani ili tuweze kunufaika na maendeleo ya kiteknolojia?

Nchini Tanzania, kama ilivyo katika maeneo mengine duniani teknolojia imeleta maendeleo na mabadiliko makubwa kwenye jamii.Hakuna shaka yoyote kwamba teknolojia imebadili namna na kasi ya mawasiliano...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Aliyekuwa Mtendaji Mkuu Wa MSD Na Mwenzake Kufikishwa Mahakamani Leo

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Trump ashtakiwa kuhusiana na mashambulizi ya polisi dhidi ya waandamanaji

Makundi ya kutetea haki za binadamu nchini Marekani yamewasilisha kesi dhidi ya rais Donald Trump baada ya vikosi vya usalama kuwarushia mabomu ya moshi waandamanaji waliokuwa wakiandamana kwa amani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NCCR Mageuzi kutoa ratiba ya uteuzi wa wagombea Urais, Ubunge na Madiwani...

Baada ya CHADEMA kuwataka watangaza nia ya kugombea nafasi ya Urais ndani ya chama hicho wajitokeze, NCCR Mageuzi nao wamesema kuwa wanatarajia kutoa ratiba ya uteuzi wa wagombea Urais, Ubunge na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Taarifa Kwa Umma Kuhusu Kufunguliwa Vyuo Vya Mafunzo Ya Kilimo (MATIs)

Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Ndugu Gerald M. Kusaya anawatangazia wanachuo na wakufunzi kuwa Vyuo vya Mafunzo ya Kilimo (MATI) vimefunguliwa rasmi tarehe 01 Juni, 2020 kufuatia agizo la Mhe. Rais Dkt....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waathirika Wa Mafuko Waomba Kupatiwa Elimu Ya Ujenzi Ya Makazi Ya Kisasa

SALVATORY NTANDUWananchi zaidi ya 100 waliokumbwa  na maafa ya kubomolewa kwa nyumba zao kutokana na mafuriko katika kata Ngaya,Bulige na Kashishi katika Halmashauri ya Msalala Wilayani Kahama mkoani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kinana amuomba radhi Rais Magufuli kutokana na kauli zake

Aliyekuwa Katibu Mkuu wa CCM Taifa, Abdulrahaman Kinana, amemwomba msamaha hadharani Mwenyekiti wa CCM, Taifa, Dk. John Magufuli.Kiongozi huyo ambaye alikuwa Katibu Mkuu wa CCM wakati wa Serikali ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

LIVE: Rais Magufuli Mgeni Rasmi Katika Mkutano Mkuu Wa Uchaguzi Wa Chama Cha...

LIVE:  Rais Magufuli Mgeni Rasmi Katika Mkutano Mkuu Wa Uchaguzi Wa Chama Cha Walimu Tanzania

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Riwaya Kali ya Kusisimua....SIN- Sehemu Ya 12 na 13

Mwandishi- EDDAZARIA G.MSULWAAge-18+Simu-0657072588(whatsapp) au 0768516188ILIPOISHIA    RPC akaifunua maiti moja na akamuonyesha Tomas maiti ya Selemani D iliyo chakaa kwa kupigwa risasi.“Hawa jana tu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Uvutaji Wa Tumbaku Una Athari Kiuchumi Wa Mtu Mmoja Mmoja Anayetumia

 Na WAMJW-DodomaWaziri wa Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu amesema Tanzania kama nchi nyingine za Kiafrika wavutaji wa tumbaku wako hatarini kuyumba kiuchumi na kupata...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli aagiza wanaogawa barakoa zisizothibitishwa Washughulikiwe

Rais wa Tanzania, Dkt.  John Magufuli amewaagiza viongozi katika maeneo mbalimbali nchini kuwakamata na kuwahoji wale wote wanaogawa barakoa kwa wananchi ili waeleze zimethibitishwa wapi kuwa zinafaa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli Awamwagia Sifa Walimu, Aahidi Kutowaangusha

Rais Magufuli amesema Serikali yake itaendelea kushirikiana na walimu kuhakikisha sekta ya elimu inasonga mbele na kwamba madai yao anaendelea kuyashughulikia na kuyatatua moja baada ya jingine, hivyo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli: Hatukuwa na Ebola wala Mjukuu Wake Ebola....Walidhani Watalii...

Rais Magufuli amewataka Watanzania kutotilia maanani baadhi ya maneno ya uongo kutoka kwa watu wa nje, kuhusu milipuko ya magonjwa mbalimbali huku akisimulia namna   alivyomfuta kazi kiongozi mmoja wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli: Tutafungua Shule za Msingi, Sekondari na Chekekea Hivi...

Rais wa Tanzania, Dr John Magufuli amesema atafungua shule za msingi na sekondari hivi karibuni, kama ataridhishwa na kasi ya upunguaji wa maambukizi ya ugonjwa wa CoronaRais Magufuli amesema hayo leo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Je Wewe Ni Mwanasiasa, Mfanyabiashara, Msanii Wa Maigizo Au...

Je Wewe ni MWANASIASA, MFANYABIASHARA,MSANII wa Maigizo  au  MWANAMZIKI...tunazo dawa na PETE za BAHATI zenye uwezo mkubwa wa Kuyabadilisha MAISHA yako nakukupatia MAFANIKIO MAKUBWA ndani ya mda mfupi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Naibu Waziri wa Fedha: Ongezeko La Watu Halina Athari Kiuchumi

Na. Saidina Msangi na Peter Haule, WFM, DodomaSERIKALI imesema kuwa ongezeko la watu nchi halina athari za kiuchumi na kijamii kwa kuwa Tanzania ina rasilimali za kutosha kuhudumia idadi hiyo kutokana...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wizara Ihakikishe Kilimo Kinasimamiwa Kikamilifu- Waziri Hasunga

Waziri wa Kilimo Japhet Hasunga amewaagiza watendaji Wakuu wa wizara na taasisi zake kuhakikisha wanasimamia kikamilifu uzalishaji wa mazao na upatikanaji wa masoko ya uhakika  Ametoa kauli hiyo leo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Polisi Wengine Watatu Washitakiwa Kwa Mauaji ya Mmarekani Mweusi George Floyd

Mwanasheria Mkuu wa Minnesota, Keith Ellison ametangaza kuwa maafisa watatu wa Polisi waliokuwepo wakati George Floyd anakandamizwa shingoni hadi kufariki wamefunguliwa mashtakaThomas Lane (37), J....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tumefanya Maboresho Kwenye App Yetu ya Mpekuzi Ili Kukuwezesha Kupata Habari...

Tumefanya maboresho katika App yetu ya MPEKUZI ili kuendana na changamoto ya sasa ya janga la Corona inayoikumba dunia NzimaUsikubali kupitwa na taarifa muhimu zinazoendelea hapa nchini na Duniani  kwa...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>