Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Iran yaionya Marekani kuhusiana na njama zake za kutaka kuishambulia kijeshi...

Msemaji wa makao makuu ya jeshi la Iran, Meja Jenerali Ebulfazl Shikarchi amesema shambulizi lolote la kijeshi kutoka kwa Marekani litajibiwa vikali kwa wao kushambulia maslahi ya Marekani katika eneo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Taifa Stars kushuka dimbani leo dhidi ya Senegal .....Mchezo Utapigwa Saa...

Timu yetu ya Tanzania, Stars  leo Jumapili June 23  itachuana na Senegal katika mchezo wa Fainali za Afcon, mechi itakayopigwa saa 2 usiku kwa saa za nyumbani (Tanzania).Nahodha wa Taifa Satars, Mbwana...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Katibu Mkuu CCM Dr. Bashiru ahoji maswali Haya kwa wanaosema uchumi wa...

NA MWAMVUA MWINYI,PWANIKATIBU wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)Taifa ,Bashiru Ally amezindua ujenzi wa ukumbi wa kisasa wa mikutano wa CCM mkoani Pwani,ambapo amechangisha zaidi ya milioni 25 na vifaa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA: Rais Magufuli Ashiriki Misa Takatifu Ya Maadhimisho Ya Sherehe...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipeana mikono na Padre Dkt. Alister Makubi, Paroko wa Kanisa Katoliki la Mtakatifu Petro Parokia ya Oysterbay jijini Dar es salaam...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Upungufu Wa Nguvu Za Kiume Unaotokana Na Kisukari (Diabetic Nephropathy)

Ugonjwa wa kisukari (Diabetes Mellitus) huambatana na ongezeko la sukari(glucose) katika damu kwa kiwango kinachozidi kawaida. Homoni aina ya insulin ambayo hutolewa na kongosho ama hushindwa kufanya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ufahamu Ugonjwa Wa Ngiri Na Tiba Yake

Tatizo la Ngiri Linavyosababisha Upungufu wa Nguvu za Kiume na Maumbile Kusinyaa.  Ngiri au Hernia ni aina ya ugonjwa ambao unampata mtu baada ya misuli au kuta za tishu mwilini zinazoshikiria au...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Kangi Lugola Ashangaa Kukuta Mahabusu Waliokaa Rumande Kwa Miezi 6...

WAZIRI wa mambo ya ndani nchini Kangi Lugola maarufu kama Ninja amefanya ziara ya kushtukiza katika kituo cha polisi Gogoni kilichopo wilaya ya kipolisi Kimara ikiwa ni katika kuangalia utendaji kazi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Mkuu Atoa Pole Kwa Naibu Katibu Mkuu Wa CCM Zanzibar Kufuatia Kifo Cha...

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimpa pole, Naibu Katibu Mkuu wa CCM – Zanzibar, Abdallah Juma Mabodi ambaye amefiwa na Mkewe, Dkt. Badriya Abubakar Gurnah wakati alipokwenda nyumbani kwa wazazi wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Marekani yashambulia mifumo ya kompyuta ya silaha za Makombora za Iran

Marekani imefanya mashambulizi ya mtandao kwenye mifumo ya silaha za Iran na kuiharibu kabisa.Tukio hilo limefanywa siku chache baada ya Rais wa Marekani, Donald Trump kutangaza kuachana na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ulevi Wa Kupindukia Wasababisha Kifo Cha Mwanamke Shinyanga

MKAZI wa kata ya kambarare Mjini Shinyanga Nadia Rajab (18)mhaya amefariki dunia baada ya pikipiki aliyokuwa amepanda ikiendeshwa na askari wa jeshi la wananchi Tanzania (JWTZ) Othuman Hassan (30)...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali Yapiga Marufuku Wanaoshitakiana Kugharimia Usafiri Mabaraza Ya Ardhi

Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula amepiga marufuku wananchi wanaoshitakiana katika Mabaraza ya Ardhi kutoa pesa kwa ajili ya kugharimia usafiri wa kwenda eneo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Dr. Ndugulile Atoa Rai Kwa Jamii Zenye Ndoa Za Asili Kusajili Serikalini Ili...

Na.Faustine Gimu Galafoni,Dodoma. Ikiwa leo Juni 23,2019  ambapo Tanzania imeungana na mataifa mengine Ulimwenguni kuadhimisha siku ya Wajane Duniani,Naibu  Waziri wa Afya ,Maendeleo ya Jamii jinsia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatatu June 24

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wema Sepetu amaliza siku saba za kukaa gerezani....Mahakama Yampa Onyo la Mwisho

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam nchini Tanzania imemuonya msanii wa Filamu nchini humo, Wema Sepetu(30), kutokukiuka masharti ya dhamana, vinginevyo haitasita kufutia dhamana yake.Kauli...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Viongozi Wa Serikali Watakiwa Kuilea Na Kuisadia Sekta Binafsi

Na Stella Kalinga, SimiyuMkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mhe. Anthony Mtaka amewataka viongozi wa Serikali mkoani Simiyu kuisaidia na kuilea Sekta Binafsi ili iendelee kukua na wahakikishe kuwa maamuzi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Mstaafu Mkapa akumbuka alikosoma

Katika kuonesha anathamini alikotoka kielimu, Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu, Benjamin Mkapa anatarajiwa kuungana na wahitimu wengine wa shule kongwe ya Sekondari Ndanda ya Masasi, Mtwara kuitembelea...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Bajeti Kuuu ya Serikali Kupigiwa Kura ya Ndio au Hapana Kesho

Wabunge kesho wanatarajiwa kupiga kura kupitisha Bajeti Kuu ya Serikali ya 2019/20 ya Sh trilioni 33.11 kwa kuitwa majina na kupiga kura ya Ndiyo au Hapana.Bajeti hiyo Kuu ya Serikali itapitishwa kama...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mama adaiwa kumchinja mtoto wake na kumpika kama Supu

Mama Happiness Shadrack(36) Mkazi wa kijiji cha Buligi Kata ya Senga Wilayani na Mkoani  Geita anayedaiwa ni mwenye tatizo la akili, amemchinja mtoto wake  Martha Yakobo (1) mwaka mmoja  na kisha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Lugola: Mwanamke anayefikishwa Polisi hapaswi kukaguliwa na Askari wa kiume

Serikali kupitia Waziri wa Mambo ya Ndani Nchi, Kangi Lugola imesema mtuhumiwa mwanamke anayefikishwa kituo cha polisi hapaswi kukaguliwa na askari wa kiume, kwamba kazi hiyo inapaswa kufanywa na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wazazi wapigwa marufuku kufanya biashara na watoto Wadogo sokoni

Uongozi wa soko kuu la mitumba la Memorial, Manispaa ya Moshi Mkoani Kilimanjaro, umeahidi kushirikiana na jeshi la Polisi kupiga marufuku wafanyabiashara wa soko hilo kwenda sokoni hapo na watoto...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>