Pinda: Mnapaswa Kudumisha Nidhamu Ya Matumizi Ya Fedha Baada Ya Kustaafu
NA. MWANDISHI WETUWaziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Mizengo Pinda amewaasa watumishi wa Ofisi ya Waziri Mkuu wanaotarajia kustaafu hivi karibuni kudumisha nidhamu katika...
View ArticleTume ya Nguvu za Atomiki Tanzania (TAEC) Yaimarisha Utendaji wake Kwa Kutumia...
Na Frank Mvungi- MAELEZOTume ya Nguvu za Atomiki Tanzania (TAEC) imetajwa kuongeza tija katika utendaji wake kutokana na matumizi ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA)katika huduma zake kwa...
View ArticleTrump Kasema Kilichomfanya Asiishambulie Kijeshi Irani Ni Kuhofia Vifo vya...
Rais wa Marekani Donald Trump amesema leo kuwa alisitisha shambulizi la kijeshi dhidi ya Iran kwa sababu jibu kama hilo kwa hatua ya Iran kutungua ndege ya Marekani isiyoruka na rubani lingesababisha...
View ArticleBodi ya TCRA watembelea maktaba mpya ya kisasa UDSM
NA K-VIS BLOG/Khalfan SaidBODI ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), pamoja na Menejimenti ya Mamlaka hiyo, zimemefanya ziara kwenye kiwanja cha ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere ili kujionea...
View ArticleMisri Yaanza Vizuri Michuano ya AFCON Kwa Ushindi wa Bao 1:0 Dhidi ya Zimbabwe
Michuano ya 32 ya fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika imefungua pazia lake nchini Misri jana Ijumaa kwa mchezo kati ya wenyeji Mafarao wa Misri dhidi ya timu ya taifa ya Zimbabwe.Katika mchezo huo...
View ArticleWivu Wa Mapenzi Wasababisha Mauaji Shinyanga
SALVATORY NTANDUMkazi wa Mhunze wilayani Kishapu mkoani Shinyanga Rafael Martine (34) anashikililiwa na Jeshi la polisi kwa Tuhuma ya kumuua Shija Mahoiga (45) mkazi wa kijiji cha Igaga kwa kutumia...
View ArticleKatibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira Ahimiza Ushirikiano kwa...
Na; Mwandishi WetuKatibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Bw. Andrew Massawe amewaasa watumishi wa ofisi hiyo kufanyakazi kwa ushirikiano ili waweze kutumiza malengo...
View ArticleChama kikuu cha Ushirika Kahama (KACU) chatoa Onyo Kali Kwa Viongozi Wa Vyama...
SALVATORY NTANDUChama kikuu cha Ushirika Kahama (KACU) Katika mkoa wa kitumbaku Kahama, kimekitoza faini ya shilingi laki 300,000 viongozi wa chama cha Msingi Mweli baada ya kubainika kwa mwanachama...
View ArticleBunge Sports Club Kutoana Jasho Na Timu Ya NMB Katika Uwanja wa Jamhuri...
Na.Faustine Gimu Galafoni,Dodoma. Timu ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Bunge Sports Club leo Juni 22,2019 wanatimuana Vumbi nene katika Bonanza la Michezo mbalimbali na timu ya...
View ArticleWaziri wa Viwanda na Biashara Awahakikishia Soko la Uhakika Wakulima wa Tumbaku
Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Innocent Bashungwa amesema Serikali itatafuta wanunuzi wa zao la Tumbaku endapo Kamapuni iliyokuwa inanunua awali ya TLTC haitaendelea na ununuzi huo.Amesema kuwa...
View ArticleMkuu wa Majeshi Ethiopia apigwa risasi
Waziri Mkuu wa Ethiopia Abiy Ahmed amefahamisha kuwa mkuu wa majeshi Seare Mekonen alipigwa risasi baada ya kuzuka machafuko Jumamosi jioni katika taifa hilo la Pembe ya Afrika. Hata hivyo hali ya mkuu...
View ArticleKagame Azungumzia Uwezekano wa Kutokea Vita Kati ya Rwanda na Uganda
Rais wa Rwanda, Paul Kagame amepuuza uwezekano wa nchi yake kuingia vitani na Uganda, ingawa amesisitiza kuwa nchi hiyo jirani inafadhili waasi wa nchi yake.Kagame amesema hayo katika mahojiano na...
View ArticleTaarifa Umma kuhusu Kikao cha Kamati Kuu(CC) na Halmashauri Kuu ya Taifa...
Chama cha Mapinduzi (CCM) nchini Tanzania kinatarajia kufanya vikao vyake Kamati Kuu (CC) pamoja na Halmashauri kuu (NEC) wiki ijayo Dar es Salaam.Wakati kikao cha kamati kuu vitafanyika Juni 26, 2019...
View ArticleWaziri Mkuu: Watumishi Ni Muhimu Kushiriki Michezo
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema ni muhimu kwa watumishi kushiriki katika michezo mbalimbali kwa kuwa inaimarisha afya pamoja na kudumisha mshikamano.Ametoa kauli hiyo jana (Jumamosi, Juni 22, 2019)...
View ArticleWatafiti Watakiwa Kutumia Mbinu Za Kisayansi Ili Kuleta Tija Katika Jamii
Na. Peter Haule na Farida Ramadhani WFM, DodomaWatafiti nchini wametakiwa kuweka mkazo katika mbinu za utafiti zinazokidhi viwango vya kimataifa ili kuwa na majibu ya tafiti zenye tija zilizo na lengo...
View ArticleWatumishi Mambo Ya Ndani ‘waikosha’ Hospitali Ya Mirembe, Wapewa Elimu
Na Mwandishi Wetu, MOHA UONGOZI wa Hospitali ya Rufaa ya Wagonjwa wa Akili ya Mirembe, mkoani Dodoma, umefurahishwa na kitendo cha watumishi wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi kwenda kufanya usafi wa...
View ArticleVanessa Mdee atangaza rasmi kuachana na Juma Jux
Msanii wa Bongo Fleva Vanessa Mdee ametangaza rasmi kupitia Instagram story yake kuwa ameachana na aliyekuwa mpenzi wake Juma Jux baada ya shabiki kuuliza kama wameachana na Jux.Vanessa Mdee alijibu...
View ArticleWakala wa CIA anyongwa nchini Iran
Taarifa iliyotolewa na mahakama ya kijeshi nchini Iran inasema adhabu ya kunyongwa hadi kufa aliyopewa jasusi wa CIA na Marekani,Jalal Haji Zevar imetekelezwa katika gereza la Recai Shar lililopo kerec...
View Article