Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mama adaiwa kumchinja mtoto wake na kumpika kama Supu

$
0
0
Mama Happiness Shadrack(36) Mkazi wa kijiji cha Buligi Kata ya Senga Wilayani na Mkoani  Geita anayedaiwa ni mwenye tatizo la akili, amemchinja mtoto wake  Martha Yakobo (1) mwaka mmoja  na kisha kumuweka ndani ya sufuria kumkata vipande vipande na baadaye kumchemsha  kwenye maji ya moto kama supu.
 

Kaimu Kamanda wa Polisi mkoani Geita, Dismas Kissusi amethibitisha kutokea kwa tukio hilo Juni 21 mwaka huu.

Kamanda Kissusi ameeleza kuwa historia ya mwanamke huyo Happyness Shedrack (36) inaonesha kuwa ana matatizo ya akili.

Ameongeza kuwa upelelezi unaendelea na ukikamilika mama huyo atapelekwa mahakamani kujibu mashitaka ya mauaji.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>