Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live
↧

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Maneno ya Rais Magufuli akimtakia Heri ya siku ya kuzaliwa TB Joshua

Rais John Magufuli jana  alimtumia salamu za heri ya siku ya kuzaliwa, mchungaji maarufu wa Nigeria, TB Joshua, aliyefikisha miaka 55.  Rais Magufuli alituma salamu hizo kwenye ukurasa wake wa twitter,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tunatibu Na Kuponesha Kabisa Upungufu Wa Nguvu Za Kiume, Maumbile Mdogo,...

TUNATIBU NA KUPONESHA KABISA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME UUME MDOGO BUSHA BILA KUPASUA PRESHA VIDONDA VYA TUMBO : Asilimia kubwa ya wanadamu wanasumbuliwa na magonjwa mbalimbali na wapo waliohangaika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wanunuzi Wa Pamba Waishukuru Serikali

WANUNUZI wa zao la pamba wameishukuru Serikari kwa kuweka mfumo mzuri wa ununuzi wa zao hilo, ambalo kwa mwaka huu linauzwa kupitia katika minada inayosimamiwa na Vyama vya Msingi vya Ushirika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MamboSasa: Dr Shika Hana Hela Yoyote, Ni Muongo

Kamanda wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa, amesema kuwa Dk. Shika anacheza na akili za watu na hana fedha yoyote aliyopeleka benki kama alivyodai.Akizungumza na Redio Times Fm, leo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tatizo La Upungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo

Tatizo La Upungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo Ya Uume Limekuwa Kubwa Kwa Lika Zote Hapa Kwetu Na Duniani Kote. Tatizo Si Tatizo Bali Ni Iletiba Sahihi Ya Matatizo Haya Chanzo Chake Na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Nchemba: Ni Kosa Polisi Kumkamata Mtu Mwingine kwa Kosa la Mwingine

Waziri wa Mambo ya Ndani, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema si sawa Jeshi la Polisi kumchukulia hatua mtu ambaye si mkosaji kwa kosa la mtu mwingine.Dkt. Mwigulu amesema hayo bungeni leo wakati akijibu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwenyekiti PAC akalia kuti kavu sakata la BoT

Mwenyekiti  wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), Naghenjwa Kaboyoka ameingia matatani baada ya kutoa majibu ya madai ya kuwepo kwa tuhuma za ufisadi katika Benki Kuu ya Tanzania...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Dawa Za Nguvu Za Kiume Na Kukosa Hamu Ya Tendo La Ndoa

Asilimia 45-80 ya wanaume wapo tofauti na wengine kwa kutowatimizia vyema wake au wapenz wao na kuwasababishia kutoka nje ya mahusiano yao. NINI CHANZO CHA HAYO? Kupiga punyeto,Ngiri, Vidonda vya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Bajeti Kuu ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2018/19 Kusomwa Kesho Bungeni

Bajeti  Kuu ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2018/19 ambayo ni ya tatu kwa Serikali ya Rais John Magufuli, itasomwa na Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Philip Mpango kesho Alhamisi.Spika wa Bunge, Job...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Bilioni 22.5 zatengwa kwaajili ya matumizi ya uzazi wa mpango

Serikali kupitia Wizara ya afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imesema kuwa kwa mwaka wa fedha 2018/2019 imepanga kutumia shilingi 22.5 kwaajili ya matumizi ya uzazi wa mpango.Akizungumza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wema Sepetu Kuanza Kujitetea June 19

Muigizaji wa filamu Wema Sepetu na wafanyakazi wake wawili wanaokabiliwa na kesi ya kutumia dawa za kulevya katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wataanza kujitetea Juni 19, 2018.Wema na wenzake...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kamishna Mkuu Wa TRA Awashukuru Wafanyabiashara Jijini Dodoma

Na Veronica KazimotoKamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Charles Kichere amewashukuru wafanyabiashara jijini Dodoma kwa mchango wao wa kulipa kodi na kuiwezesha Serikali kutekeleza wajibu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Simbacxhawene Awasilisha Azimio la Kumpongeza Rais Magufuli Kwa Kuiendeleza...

Mbunge wa Kibakwe (CCM) George Simbachawene amewasilisha azimio la kuitaka Serikali kuharakisha  mchakato wa Muswada wa Sheria ya kuifanya Dodoma kuwa makao makuu na kuuleta bungeni.Akiwasilisha azimio...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Lembeli atangaza kuachana na siasa

Mbunge wa zamani wa Kahama, (CCM) James Lembeli, ametangaza kuachana na siasa akitaja sababu kuu mbili.Lembeli amesema ameamua kuachana na siasa kwa sababu mashirika na taasisi anayofanya nayo kazi,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jeshi la Polisi Kuwashughulikia Matapeli Wa Mitandaoni

Kamanda wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa, amesema kuwa Jeshi la Polisi kushirikiana na TCRA kuna watu wanaotapeli kwa njia ya mtandao wameshawakamata na jambo hilo bado linafanyiwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wabunge Wagawanyika azimio la kumpongeza Rais Magufuli Lililotolewa na...

Wabunge wamegawanyika wakati wa kujadili azimio la kumpongeza Rais John Magufuli kwa uamuzi wa kuendeleza mji wa Dodoma na kuupa hadhi ya Jiji.Azimio hilo limewasilishwa na Mbunge wa Kibakwe (CCM)...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kwanini Saa Za Automatic Ni Maarufu Tanzania

Kwanini Saa Za Automatic Ni Maarufu Tanzaniasaa za automatic ni saa ambazo miaka ya karibuni zimepata umaarufu hasa kwenye mambo ya fashion ya saa hasa za mtindo wa skeleton kama hiyo juu kwenye...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) yawatumbua vigogo sita

Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imewafukuza kazi wakurugenzi wake sita kwa tuhuma mbalimbali zinazowakabili ikiwamo uzembe kazini.Akizungumza leo Juni 13, Mkurugenzi wa HESLB Abdul...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Taarifa Kwa Umma Kutoka Jeshi La Polisi Tanzania

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Moto Mkubwa Wateketeza Ghala La Kuhifadhia Bidhaa Kariakoo

Jengo la ghorofa mbili lililopo mtaa wa Agrey na Livingstone, Kariakoo limeteketea kwa moto.Moto huo umeanza leo Juni 13 saa 4 asubuhi na kuteketeza mali zote zilizohifadhiwa kwenye jengo...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>