Lembeli atangaza kurejea CCM
Mbunge wa zamani wa Kahama, James Lembeli ametangaza kurejea CCM.Ametangaza uamuzi huo leo Juni 13, 2018 muda mfupi baada ya kutangaza kuachana na siasa akidai ni kwa sababu ya kubanwa na utaratibu wa...
View ArticleChama cha Madaktari Tanzania (MAT) wataka uchunguzi tukio la daktari kupigwa...
Chama cha Madaktari Tanzania (MAT), kimelitaka Jeshi la Polisi kuchunguza na kuweka taarifa sahihi kuhusu tukio la kushambuliwa na polisi kwa Mkuu wa Kituo cha Afya cha Katoro, Geita Dk Peter...
View ArticleKatibu Mkuu wa CCM, Dk Bashiru Ally aonyesha makali yake CCM
Katibu Mkuu wa CCM, Dk Bashiru Ally amesema atawafukuza uanachama watendaji wote watakaoonekana wanabeba mikoba ya wagombea na kushabikia makundi ya siasa ndani ya chama hicho.Dk Bashiru ameyasema hayo...
View ArticleJe! Ni Kweli Mtu Akichanjiwa Lufakale Hawezi Kufa ?
Lufakale ni mti unao patikana porini. Ni mti mzito na wenye mambo mazito sana. Mti huu una sifa nyingi lakini inayo julikana zaidi na watu ni sifa moja. Nayo ni kwamba mtu...
View ArticleWaziri Ummy Aziagiza Halmashauri Zote Nchini Kuweka Kambi Za Uchangiaji Damu...
Na.Alex Sonna,DodomaWaziri wa Afya na Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto Mhe.Ummy Mwalimu amezitaka halmashauri zote nchini kuweka kambi za uchangiaji damu mara tatu kwa Mwaka ili kuweza kufikia...
View ArticleBAKWATA yapiga marufuku kutangaza Eid
Baraza Kuu la waislam Tanzania (BAKWATA) limepiga marufuku utangazaji wa sherehe za Iddi na sherehe zozote zile za dini ya Kiislam bila kupata vibali vya baraza hilo ambalo ndio chombo kikuu cha...
View ArticleEID OFA Punguzo 20%, Pata saa Hii ya Automatic Hapa
bonyeza buy now kuagiza saa hii jaza detail zako tutaleta utalipa mzigo ukifika majiji yote TanzaniaSPECIFICATION1.automatic watch2.made with steel3.water proof 3atm4.full boxed
View ArticleMbowe na Wenzake Wasomewa Mashitaka Mapya 13
Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Freeman Mbowe na vigogo wengine saba wa chama hicho wamesomewa mashtaka mapya 13 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.Mbowe na wenzake walisomewa mashtaka hayo jana Juni...
View ArticleDawa Za Nguvu Za Kiume Na Kukosa Hamu Ya Tendo La Ndoa
Asilimia 45-80 ya wanaume wapo tofauti na wengine kwa kutowatimizia vyema wake au wapenz wao na kuwasababishia kutoka nje ya mahusiano yao. NINI CHANZO CHA HAYO? Kupiga punyeto,Ngiri, Vidonda vya...
View ArticleKombe La Dunia Kuanza Leo, Wenyeji (Urusi) Wanafungua Michuano Na Saudi Arabia
Sherehe ya ufunguzi inabidi kuanza nusu saa kabla ya Urusi kucheza mechi ya ufunguzi dhidi ya Saudi Arabia (mishale ya saa 18:00 za jioni) Sherehe hizo zitadumu kwa muda wa nusu saa tu ili kupisha...
View ArticleNaibu Waziri Mabula Apata Pigo Tena
Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Angelina Mabula. amepata pigo la kuondokewa na mumewe aliyefariki dunia jana Jumatano, Juni 13, 2018 majira ya saa 11 jioni katika Hospitali ya...
View ArticleMahakama yatengua kifungo cha miaka 15 jela cha Askari Polisi aliyemuua...
Mahakama ya Rufaa imetengua kutiwa hatiani kifungo cha miaka 15 jela alichopewa askari polisi, Pacificus Simon aliyeshtakiwa kwa kumuua mwandishi wa habari wa Kituo cha Channel Ten, Daudi Mwangosi na...
View ArticleHashim Rungwe Asema Yuko Tayari Kujiunga na Akina Mbowe ili Kuongeza Nguvu
Mwenyekiti wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Hashim Rungwe amesema kuwa yupo tayari kuungana na upinzani pale muda utakapofika na kujiridhisha kuwa mipango inatekelezeka.Rungwe amesema hayo...
View ArticleWaziri Mpango: Akiba ya Fedha za Kigeni Imeongezeka na Kupita Viwango vya EAC
Waziri wa Fedha na Mipango, Philip Mpango amesema akiba ya fedha za kigeni imeongezeka kwa mwaka 2017, na kupita viwango vilivyowekwa na Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC).Amesema hayo leo bungeni...
View ArticleMbunge aiomba serikali kutoa elimu bure kidato cha tano na sita
Serikali kupiti Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi Teknolojia, William Ole Nasha amesema lengo la serikali huko mbeleni kadiri uwezo utakavyo ruhusu itatoa elimu bure hadi chuo kikuu.Nasha ameyabainisha...
View ArticleRatiba Ya Mechi Za Ligi Kuu England Imetoka.....Arsenal Kuanza Na Manchester
Ratiba ya Ligi Kuu England imetoka rasmi leo ambapo mechi za kwanza zitaanza kuchezwa Jumamosi ya Agosti 11 2018.Ratiba inaonesha Arsenal itaanza na mabingwa watetezi wa taji hilo, Manchester City huku...
View ArticleJishindie Gari la Bure Toka Japan.....Kushiriki Ni Bure Kabisa
Kampuni ya Car From Japan huendesha mashindano ya magari ya Bure kabisa kila mwezi. shindano hili ni Bure na huhitaji kutoa chochote kushiriki.Mshindi ataletewa gari lake alitakalo hadi nchini mwake...
View ArticleSerikali Kuandaa Mazingira Rafiki ya Kufanya Biashara Nchini
Baada ya kushuhudia ushiriki mdogo wa sekta binafsi kwenye utekelezaji wa miradi ya maendeleo, Serikali imeandaa mpango kabambe wa kuboresha mazingira ya biashara ili kuongeza ushiriki wao.Hayo...
View ArticleRatiba Ya Mechi Zote Kombe La Dunia Hadi Fainali
Leo ndiyo ufunguzi rasmi wa Fainali za Kombe la Dunia 2018 zitakazopigwa nchini Urusi.Tazama hapa ratiba ya mechi zote za michuanpo hiyo kuanzia ile ya ufunguzi kati ya wenyeji Urusi na Saudi Arabia...
View Article