Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ziara Ya Ujumbe Wa Idara Ya Maadili Na Nidhamu Ya Chama Tawala Cha Frelimo...

Jana tar. 13 Juni, 2018  Kamati ya Siasa ya Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Arusha imekutana na Ujumbe wa Idara ya Maadili & Nidhamu ya Chama Tawala cha FRELIMO Kutoka Nchini Msumbiji. Ujumbe huo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Polisi yatoa onyo magari ya Serikali yanayovunja sheria

Jeshi la Polisi kanda maalum ya Dar es Salaam limesema linaanzisha operesheni maalum kuanzia leo Juni 14,2018 ya kukamata magari yote yatakayopita katika barabara za mwendokasi yakiwemo magari ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mikopo Sekta binafsi Imeongezeka kwa Bilioni 75

Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Philip Mpango amesema mikopo iliyotolewa kwa sekta binafsi katika kipindi cha mwaka 2017 imeongezeka kwa  Bilioni 75Mikopo hiyo imeongezeka kutoka Sh16.808 trilioni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Mpango: Shilingi ilishuka kwa Shilingi 57 mwaka jana

Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Philip Mpango amesema licha ya uchumi kuwa imara lakini thamani ya Shilingi dhidi ya Dola ya Marekani ilishuka kidogo.Akizungumza leo Juni 13, wakati akiwasilisha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Chenge aitaka serikali kuangalia upya katazo la kusafirisha madini ghafi

Mwenyekiti wa Bunge Andrew Chenge ameiagiza Serikali kuangalia upya katazo la kusafirisha madini ghafi (cabon) kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine kwa sababu halikuzingatia athari watakazozipata...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali Yafuta VAT kwenye taulo za kike (Pedi)

 Serikali imefuta Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT),  kwa taulo za kike (pedi) zinazoagizwa kutoka nje ya nchi.Msamaha huo umetangazwa leo Alhamisi Juni 14 na Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Philip...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Pikipiki na Magari ya mashindano nazo kuondolewa kodi

Waziri wa Fedha, Philip Mpango amesema serikali inatarajia kufanya mabadiliko kwenye sheria ya forodha la jumuiya ya Afrika Mashariki inayotoa msamaha wa kodi kwa magari yanayotumika kwenye mashindano...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Mpango: Ukusanyaji wa mapato Ulikuwa Trilioni 21 Mwaka 2017/2018

Waziri wa Fedha, Dk Philip Mpango amesema ukusanyaji wa mapato katika vyanzo vyote kwa mwaka 2017/18 yalifikia Sh21.89trilioni sawa na asilimia 69 kwa mwaka.Ameyasema hayo leo Juni 14, wakati akisoma...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ajali ya Basi Yaua Wanajeshi 10 wa JKT

Basi lenye namba za usajili T 755 BAB lililokuwa likisafiri kutoka mkoani Tabora kuelekea mkoani Mbeya, limepata ajali leo Alhamisi, Juni 14, 2018 katika eneo la Igodima jijini Mbeya na kusababisha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali yaongeza ushuru wa Chokoleti, Pipi

Ili kuhamasisha uzalishaji wa ndani, Serikali imetangaza kupandisha ushuru wa forodha kwenye peremende, chokoleti, bazoka (chewing corn) na nyanya zilizosindikwa kutoka nje.Akizungumza bungeni leo Juni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Salah Ufufua Matumaini Ya Waafrikakombe La Dunia

Na magdalena kashindye.Nyota wa Liverpool na timu ya taifa ya Misiri, Mohamed Salah amepona majeraha yake.Mchezaji huyo anapewa nafasi kubwa ya kukiongoza kikosi cha Misri Ijumaa ya wiki ijayo dhidi ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mtoto Afanyiwa Ukatili Kwa Kuchomwa Moto Makalio

Na magdalena kashindye kahamaMtoto mwenye umri wa miaka {11}amechomwa moto makalioni na kufungiwa ndani kwa muda wa siku mbili kwa kosa la kuiba pesa kiasi cha shilingi elf tano kitendo ambacho ni cha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Urusi Yaanza Vyema Kombe La Dunia....Yaitandika Saudi Arabia Bao 5-0

Dakika 90 zimemalizika katika Uwanja wa Luzhniki kwa wenyeji Urusi kuibuka na ushindi wa kishindo wa mabao 5-0 dhidi ya Saudi Arabia katika mechi ya ufunguzi wa michuano ya Kombe la Dunia.Mechi hiyo ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Ijumaa ya June 15

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Miti Na Mimea Inayo Kaliwa Na Majini Mseto

Katika  uganga  na  uchawi  miti  na  mimea imegawanyika  katika  makundi  makuu  matatu.Kundi  la  kwanza  linahusisha  miti na  mimea  inayo kaliwa  na majini  na  malaika  watukufu  pekee.Kundi  la...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CCM Yamkana Lembeli

Na magdalena Kashindye -KAHAMAChama cha mapinduzi (CCM) wilayani Kahama mkoani Shinyanga kimesema hakina taarifa ya urejeo wa James Daud Lembeli katika chama hicho kutokana na kushindwa kufuata...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli Atoa Zawadi Za Idd kwa Watu Wenye Mahitaji Maalum

Habari na Wizara ya Afya.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli ametoa zawadi ya Idd El Fitri zenye thamani ya shilingi 11,370, 000 kwa vituo 5 vya Mkoa wa Dar es Salaam,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli Awalilia Wanajeshi 12 Waliofariki Ajalini

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CECAFA Yakubali Kujitoa Kwa Yanga Kombe La Kagame Cup Msimu Wa 2018

 Shirikisho la Soka Afrika Mashariki na Kati (CECAFA), limekubali maombi ya Yanga kujiondoa katika mashindano ya KAGAME baada ya kutuma barua iliyoeleza kuomba kujitoaYanga ilituma barua kupitia TFF...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jipatie Tiba ya Asili ya Ngiri, Vidonda vya Tumbo,Kisukari na Nguvu za Kiume

Super nzoka IKEMEKO TRDITONAL clinic Ni dawa ya Asili ya vidonge iliyotengenezwa kwa techknojia ya kisasa na ubora wa hali ya juu Huongeza nguvu za kiume maradufu hata kwa wale wasiojiweza kabisa...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live