Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Dawa Za Nguvu Za Kiume Na Kukosa Hamu Ya Tendo La Ndoa

Asilimia 45-80 ya wanaume wapo tofauti na wengine kwa kutowatimizia vyema wake au wapenz wao na kuwasababishia kutoka nje ya mahusiano yao. NINI CHANZO CHA HAYO? Kupiga punyeto,Ngiri, Vidonda vya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kampuni Zitakazoleta Ubabaishaji Katika Malipo Ya Pamba Ya Wakulima Kufutiwa...

Na Tiganya Vincent-Rs TaboraSERIKALI imesema haitasita kuzifuta na kuzinyang’anya leseni Kampuni ambazo zinanunua pamba hapa nchini ikiwa zitachelewesha fedha za wakulima  wa zao hilo na kuanza...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jishindie Gari la Bure Toka Japan.....Kushiriki Ni Bure Kabisa

Kampuni ya Car From Japan huendesha mashindano ya magari ya Bure kabisa  kila mwezi. shindano hili ni Bure na huhitaji kutoa chochote kushiriki.Mshindi ataletewa gari lake alitakalo hadi nchini mwake...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Vigogo CHADEMA Mahakamani Tena Leo....Lowassa Naye Kafika

Kesi inayowakabili vigogo tisa wa Chadema, wakiongozwa na mwenyekiti wa Chama hicho, Freeman Mbowe inaendelea muda huu katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.Waziri Mkuu wa Mstaafu, Edward Lowassa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Updates: Trump aridhika na mazungumzo pamoja na Kim, Wasaini Makubaliano Maalumu

Rais Donald Trump na kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong Un wamemaliza mazungumzo ya kwanza ya kihistoria kwa kutia saini taarifa juu ya ahadi za kuangamiza silaha za nuklia za Korea Kaskaizni.Trump...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kubenea Ataka Bunge L,iahirishwe ili Wajadili Sakata la TCRA Kuzuia Mitandao...

Sakata la Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania (TCRA) kutekeleza kanuni za maudhui, limewasilishwa bungeni na mbunge wa Ubungo (Chadema), Saed Kubenea akitaka maelezo ya kina ya Serikali kwani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Majeruhi Wa Ajali Meatu Wasafirishwa Kwenda Muhimbili Kwa Matibabu Zaidi

Na Stella Kalinga, SimiyuMadiwani tisa kati ya 11 wa Halmashauri ya Wilaya ya Meatu waliojeruhiwa katika ajali iliyotokea Juni 10, 2018 kwenye msafara wa Mwenyekiti wa UVCCM Taifa, Mhe. Kheri James...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Diamond Humwambii Kitu Kuhusu Timu ya Simba....."Siwezi kujiita Simba...

Baada ya kuficha kwa muda mrefu kuhusu timu anayoshabikia hapa Bongo, Dimond Platnumz ameamua kuweka wazi.Akiongea na Wasafi TV usiku wa jana kwenye ugawaji wa tuzo za Mo Simba Award 2018, msanii huyo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli achangia Milioni 10 ujenzi wa Msikiti Mkuu Dar....Atoa Ujumbe...

Rais John Magufuli amewataka viongozi wa dini kuwa wasemaji wa mambo yao na si kusemewa na wanasiasa.Amesema hayo leo Juni 12, 2018 alipotembelea kukagua maendeleo ya ujenzi wa msikiti mkuu wa Baraza...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Vifo vyaongezeka Ajali ya wanafunzi UDSM

Majeruhi mmoja kati ya wawili wa ajali iliyotokea eneo la River Side jijini Dar es Salaam ikihusisha gari la wagonjwa la Chuo Kikuu cha Dar es Salaam amefariki dunia leo Juni 12, 2018.Majeruhi huyo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Mkuu Mgeni Rasmi Uzinduzi Wa Kampeni Ya Upimaji UKIMWI Juni 19 Jijini...

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa anatarajia kuzindua rasmi kampeni ya kitaifa ya upimaji virusi vya Ukimwi VVU iliyopewa jina la ‘Furaha Yangu’ yenye lengo la kuhamasisha huduma za kupima VVU na kuanza ARV...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Nape Nnauye: Nilaumuni kwa ‘Bao la Mkono’ sio kwa hili la Jamii Forums

Mbunge Mtama, Nape Nnauye amejikutaka akijibu hoja mbali mbali mtandaoni kufuatia mtandao wa Jamii Forums kusitisha kutoa huduma.Jamii Forums wamefikia hatua hiyo kutokana na kanuni za maudhui ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Polisi wakamata majahazi yakisafirisha Bidhaa za Magendo

Jeshi la Polisi kikosi cha wanamaji, limekamata watuhumiwa 16 na majahazi manne yakiwa na mali za magendo.Akizungumza leo, Jumanne Juni 12 Kamanda wa polisi kikosi cha wana maji, Evance Mwijage amesema...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli Afurahishwa na Swali Aliloulizwa na Mwananchi...Kampa Laki 2 na...

Rais John Magufuli ametaka barabara itakayokarabatiwa karibu na eneo la Msikiti Mkuu wa Bakwata Kinondoni ipewe jina la mkazi aliyejitambulisha kwa jina la Rashidi Masushi baada ya kusema swali lake...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mahakama yazizuia benki kutoa pesa za ruzuku CUF

Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imeweka zuio la muda kwa benki zote nchini kutotoa pesa zozote za ruzuku ya Serikali kwa Chama cha Wananchi (CUF), hadi kesi zinazohusu mgogoro wa uongozi unaofukuta...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wafuasi 7 CHADEMA Wanusurika Kufutiwa Dhamana Mahakamani

Washtakiwa saba, kati ya 31 wanaodaiwa kuwa ni wafuasi wa Chadema, wamenusurika kukamatwa na kufutiwa dhamana baada kushindwa kufika mahakamani kusikiliza shauri lao.Washtakiwa hao wanakabiliwa na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wachina 19 na Watanzania 6 wafikishwa Mahakamani kwa uhujumu uchumi

Raia 19 wa China na Watanzania 6, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi.Washtakiwa hao wanashtakiwa chini ya vifungu vya sheria ya uhamiaji, chini...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wanafunzi wa UDSM kuzikwa Ijumaa

Taarifa kutoka uongozi wa wanafunzi kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), zinasema miili ya waliokuwa wanafunzi wa chuo hicho Steven Sengo na Maria Soko wanatarajiwa kuzikwa Ijumaa Juni 15, 2018,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TECNO Pouvoir 2 Uhakika Wa Chaji Ndani Ya Masaa 96.

Pamoja ya kuwa kampuni inayosifika katika uzalishaji wa simu zinazotunza chaji, kampuni ya simu ya TECNO imeendelea kudhihirisha ubora wake kwa mara nyengine tena kupitia TECNO pouvoir 2 (TECNO LA7)...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mbowe na Wenzake Wasomewa Mashitaka Mapya 13

Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Freeman Mbowe na vigogo wengine saba wa chama hicho wamesomewa mashtaka mapya 13 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.Mbowe na wenzake walisomewa mashtaka hayo jana  Juni...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>