MATUKIO ya uvunjifu wa
maadili kwenye shule mbalimbali hapa nchini yameendelea kushamiri baada ya
wanafunzi wanne wa Shule ya Msingi Lulanzi wilayani Kibaha mkoani Pwani
kutuhumiwa kumbaka mwanafunzi wa darasa la pili na kumsababishia maumivu
yaliyopelekea kulazwa Hospitali ya Tumbi kwa matibabu.
Akizungumza na mwandishi wa habari hizi jana babu wa mtoto huyo,
Jacob Mrope alisema tukio
↧