Rais wa Uganda, Yoweri Museveni ameitisha mkutano wa dharura wa
marais wa nchi za Maziwa Makuu (ICGLR), kujadili hali ya usalama
Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
Rais Jakaya Kikwete ni miongoni mwa waalikwa
kwenye mkutano huo ambao pia unatarajiwa kuhudhuriwa na Rais wa Rwanda,
Paul Kagame.
Wakati hali ya
↧